Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Imeisha hiyo mkuu wangu.
Hii game tunamaliza mizimu ya kwetu Nanjirinji inaniambia wazi usiku..

Thiago akiwa hayupo hali itakuwa mbaya sana pale kati,huyu ni mtu wetu muhimu sanaaaa..
Pia TAA na robo wakiwa kwenye ubora wao tunamaliza kazi mapema na hivi waziri ametangaza kuonesha mechi daraja la tanzanite pale ,tukishinda tunajitupa majini 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂Kwenye maji kuna papa haha utulie tuliii ndugu makubwa yaja msimu ujao ukiona Klopp alishasaini mkataba mpaka 2026 ndio ujue yajayo yanafurahisha.

Baada ya hii gemu ya Wolverhampton kuna siku 6 za ku recover naamini vijana wote watakua salama kabisa kuwavaa vijana wa Don Carlos.

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Huyu Dogo ni mjinga kweli! As professional footballer hakupaswa kuwa hivi.
Angejifunza kwa Pep Guardiola alivyowajibu Evra na Barbatov ni si kubwa unprofessional kiasi hiki.
Huyo evra alitaka kuleta shobo kwa pep ....

Eti city hakuna uongozi team ikifungwa wachezaji wote wanamwangalia pep ,,, badala ya captain kuwahamasisha kuendelea kupambana ,et city captain Hana nguvu Sasa yeye alitaka wachezaji wamwangalie nani?.! Pep ndio anaona kwa nje madhaifu lazima wamwangalia kusikiliza maelekezo .....!

Sema pep naye anajua kujibu majibu ya dharau ...!

Evra kaamua kuufyata mdomo wake ..!
 
Mimi niko Madrid ,mkija muchukua hizo quadraple humu ndani mtatuvimbia kama matikitiki maji ya manzese .....


Et fa na carabao mnafanya parade aiseeeee. Aloooooooo aloooooooooo
 
Confirmed kutakua na Parade regardless ya matokeo ya mechi zilizosalia 2.




Loading parade
Championship Women
Carabao ipo Anfield
FA ipo Anfield
EPL loading slim chance
UCL its coming home.

YNWA
 
Mkuu me naona haina haja ya kuanza na Diaz ,tuanze na Bobby kama ilivyo ada, Diaz awekwe dakika kama ya 60 akute zile beki milenda za Madrid zimeshatepeta iwe ni mabio tu mpaka wasalimu amri.
Naunga mkono hoja mkuu, Diaz akitokea bench huwa ni hatari sana kuliko akianza 1st half.
 
Naongelea UCL final , sio kombe la mbuzi kama EPL😊, Liverpool mna striker zinazojielewa endapo zikiwa hazina papara, eneo la Kati sio kivile japo defense yenu angalau ina ridhisha , tatizo la Madrid striker zao ni machine gun, eneo la kati hasa attacking midfield wapo vizur sana , kwenye defense Madrid ni wabovu , .....!!! Atakayewahi kuchoka ndo atayefungwa
 
Naongelea UCL final , sio kombe la mbuzi kama EPL, Liverpool mna striker zinazojielewa endapo zikiwa hazina papara, eneo la Kati sio kivile japo defense yenu angalau ina ridhisha , tatizo la Madrid striker zao ni machine gun, eneo la kati hasa attacking midfield wapo vizur sana , kwenye defense Madrid ni wabovu , .....!!! Atakayewahi kuchoka ndo atayefungwa
Kuchokaa??? Au mbinu za kumfunga mpinzani wake.

Kumbuka Los Blancos kacheza dk 120 mechi tatu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom