Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Hatujapoteza EPL mwaka huu 2022.
Asante Klopp.
YNWA
Ila kweliView attachment 2229436
Salah hii ishu itakuja kum cost maana naona sasa vimaneno vinazidi kuongezeka. Anaambiwa awatazame akina Can, Coutinho, Gini yaliyowakuta baada ya kuodoka Liverpool.
Redknapp anasema ni rahisi mno kumpata Salah mpya wa kufunga magoli lakini ni ngumu mno kumpata VVD mwingine yaaani. Anasema VVD ndio anatakiwa kulipwa mapesa kama yote na sio Salah haha yaaaaani tutaelewana. Jamaa kamwambia Klopp ndio kamfanya awe alivyo hivyo apige hesabu zake vzuri kabla ya kufanya maamuzi.
YNWA
Tunaupiga mwingi na bahati ipo upande wetuView attachment 2229449
Citer favourite since August 2021 lakini tumoooo kwenye mix.
Liverpool the best club to be right now mambo mazuri sana.
YNWA
Haswa lady luck is smiling on our path.
Mwaka 2021 miss Liverpool.
Nilichanganya madesaMwaka 2021 miss Liverpool.
YNWA
Kila nikiwaza naona hii ishu ya Salah wakala wake itabidi awe mwepesi wa kufanya maamuzi wakati sahihi.. Mi naona ni kama Liverpool wanawatega PSG kwamba Mbappe asepe zake Real Madrid aafu hapo sasa FSG wawasubirie chap matajiri wa mafuta waje kumnunua Salah... Hii ya kumpa mshahara unaozidi VVD na akiwa na miaka 30 kwao ni mtihani mkubwa sana na Klopp yupo kimya wala haonyeshi kumsapoti Salah wala FSG yeye katulia tuliiii nwa muda unakaribia ni hapo June 2022 yote tutayajua.Ila kweli
VVD anaupiga mwingi jamani ..anacheza kama mashine,kila mechi yupo aisee.
Bila yeye kuzuia,hata tungefunga mabao,bado tungepigwa tu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ngoja tuone mwishoKila nikiwaza naona hii ishu ya Salah wakala wake itabidi awe mwepesi wa kufanya maamuzi wakati sahihi.. Mi naona ni kama Liverpool wanawatega PSG kwamba Mbappe asepe zake Real Madrid aafu hapo sasa FSG wawasubirie chap matajiri wa mafuta waje kumnunua Salah... Hii ya kumpa mshahara unaozidi VVD na akiwa na miaka 30 kwao ni mtihani mkubwa sana na Klopp yupo kimya wala haonyeshi kumsapoti Salah wala FSG yeye katulia tuliiii nwa muda unakaribia ni hapo June 2022 yote tutayajua.
VVD kuanzia msimu 2023 mshahara wake utapanda mpaka £250k kwa wiki hakika anastahili hata zaidi ya hio.
YNWA
Alicheza vizur ila tatizo lake nikutaka kufanya zaid ya uwezo wake.Tukomae kwa Bissouma. Hakuna namna.
Hivi Jones ni apate dakika zaidi ama apate mkopo maana kama vile hua anakwenda mbele na kurudi nyuma. Mechi ya jana kacheza vyema sana kuna mashuti yale ya nje ya 18 anajaribu kutupia ishu hajawa clinical.
Jones real Scouser. Talent ipo.
YNWA
Halafu huyu Salah ameanza kuwa mpumbavu anajikuta sana kwamba muhimu sana na watu muhimu kina vvd wspo wamepiga kimya.View attachment 2229436
Salah hii ishu itakuja kum cost maana naona sasa vimaneno vinazidi kuongezeka. Anaambiwa awatazame akina Can, Coutinho, Gini yaliyowakuta baada ya kuodoka Liverpool.
Redknapp anasema ni rahisi mno kumpata Salah mpya wa kufunga magoli lakini ni ngumu mno kumpata VVD mwingine yaaani. Anasema VVD ndio anatakiwa kulipwa mapesa kama yote na sio Salah haha yaaaaani tutaelewana. Jamaa kamwambia Klopp ndio kamfanya awe alivyo hivyo apige hesabu zake vzuri kabla ya kufanya maamuzi.
YNWA
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Tunae muacheni akapumzike June atarejea akili imekaa sawa. Kukosa ubingwa Afcon na kukosa kwenda kucheza Qatar naona kumemvuruga kabisaa ukichanganya na spinning za FSG kwamba anataka £500k kwa wiki ndio amezidi kupagawa.Halafu huyu Salah ameanza kuwa mpumbavu anajikuta sana kwamba muhimu sana na watu muhimu kina vvd wspo wamepiga kimya.
Kama vipi tumwachie asepe tuone yatakayomkuta..
Jones kipaji kipo kabisa kinaonekana ila kwenye kufanya maamuzi ndio anakwama yaaani muda gani apige chenga na eneo lipi apige chenga na muda gani aachie mpira ni changamoto lakini anachotaka kufanya kinaonekana ishu ni ile execution ni tatizo.Alicheza vizur ila tatizo lake nikutaka kufanya zaid ya uwezo wake.
Nawahurumia sana takumi na gomez coz talent zipo ila dk za uwanjan na raia walio zikalia namba zao ni kwikwi
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Na kweli hapa ni kutulia tu.Ngoja tuone mwisho
Tule mtori kwanza,nyama zipo chini.