Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ndg yangu unajishushia heshima unavyotumia nguvu kubwa kutetea kitu ambacho akiexist. Hizo goli kumi kafunga mechi zipi??
Pulisic 13 mechi kubwa epl na UEFA
Werner ana goli 13 epl an uefa
Kai ana 13 EPL na UEFA sijaweka assits na ligi za mbuzi za minamino
Wach kujishushia heshima ndg
Sasa Takumi dakika alizocheza chache angecheza kama hawa washambuliaje wa ze blauzi si ingekuwa balaa

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
 
Adjustments.jpg
 
Sasa Takumi dakika alizocheza chache angecheza kama hawa washambuliaje wa ze blauzi si ingekuwa balaa

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Kwa ligi ipi ndio swali langu, ahat angecheza mara 1,000 which league, that is my question
EPL? UEFA au unazungumzia Karabao zenye timu hadi Legue two!
 
Kwa ligi ipi ndio swali langu, ahat angecheza mara 1,000 which league, that is my question
EPL? UEFA au unazungumzia Karabao zenye timu hadi Legue two!
Uelewa Wako ni mdogo sana. Idadi ya mechi alizocheza na game time ndio kinachomaanishwa
 
Timu ilicheza hovyo sana ni kwa vile mlikuwa na Soton tu!
Sishangai maana hata kikosi chenyewe ndio kile ndugu.. Klopp ni bonge la kocha yaaani wale wachezaji ndio mechi yao ya kwanza wamecheza pamoja msimu huu lakini hilo halikua tatizo kutoka na ushindi ugenini uwanja ambao Manchester City alitoka sare.

Kwa sas haijalishi tunacheza aje cha muhimu ushindi tu intosha, vijana wapo hoi na majeruhi kama yote.

YNWA
 
Juu ya kuwa ni Squad player lakini Klopp amekuwa akimnyima sana game time.
Kama vipi ikibidi kuuzwa bora Spurs wamnunue akaungane na Son.
Huyu dogo akiungana na Son itakua balaa aisee maana wote bila mpira ni workaholic huku Kane akiwa false 10 kama alivyocheza msimu huu itakua balaa kubwa sana
😎😎😎Ama tuwape Spurs huyu dogo Taikumi nasi tumchukue Son na ligi tunatangaza ubingwa January 😂😂

Yeh dakika kwake zimekua ni changamoto na bei inayotajwa kwake inahamasisha auzwe vile kama akitokea mhitaji tetesi ni £18m+ kwa mchezaji ambae hana uhakika wa namba itakua ngumu sana FSG kuacha hio ela.

YNWA
 
Hichi kikosi cha Jamie

Mimi ningebadilisha
Matip weka Rudiger
Silva weka Thiago
Rice weka Fabhino
Kane weka Mane
Alison weka Mendy

View attachment 2229404
Rudiger ni jembe haswa hapa Don Carlos kapata mpambanaji .. Najiuliza itakua aje na dogo Mbappe na Tchouameni wakitua pale Real Madrid yaaani hawa jamaa wameamua sasa ni wakati mwafaka kuwazika kabisa Barcelona ndoto za ubingwa La Liga.

YNWA
 
Majeruhi sana uyu
Tukomae kwa Bissouma. Hakuna namna.

Hivi Jones ni apate dakika zaidi ama apate mkopo maana kama vile hua anakwenda mbele na kurudi nyuma. Mechi ya jana kacheza vyema sana kuna mashuti yale ya nje ya 18 anajaribu kutupia ishu hajawa clinical.

Jones real Scouser. Talent ipo.

YNWA
 
Screenshot_20220518_153246_com.android.chrome_edit_74959486593769.jpg


Salah hii ishu itakuja kum cost maana naona sasa vimaneno vinazidi kuongezeka. Anaambiwa awatazame akina Can, Coutinho, Gini yaliyowakuta baada ya kuodoka Liverpool.

Redknapp anasema ni rahisi mno kumpata Salah mpya wa kufunga magoli lakini ni ngumu mno kumpata VVD mwingine yaaani. Anasema VVD ndio anatakiwa kulipwa mapesa kama yote na sio Salah haha yaaaaani tutaelewana. Jamaa kamwambia Klopp ndio kamfanya awe alivyo hivyo apige hesabu zake vzuri kabla ya kufanya maamuzi.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom