Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,780
Sikuwa na wasi wasi tangu mwanzo mkuu, leo nimependa Klopp alivyo fanya Rotation na hii itatusaidia kwenye UCL.Mkuu leo tulia tu ,usiwe na wasiwasi.
Sikuwa na wasi wasi tangu mwanzo mkuu, leo nimependa Klopp alivyo fanya Rotation na hii itatusaidia kwenye UCL.Mkuu leo tulia tu ,usiwe na wasiwasi.
Yaani na mimi ndio nilikuwa naomba hivyo sikuwa na wasi² kabisaAngalau kikosi cha kwanza kimepumzika,warudi na nguvu mpya
Nikicheza miaka miwili tu kibongobongo tayari ni billioneaWai chap sana ukapate ma paudi yakutosha...
YNWA
Utakua mshefa wa nguvu sana... Mbeya watakwelewa vyema.Nikicheza miaka miwili tu kibongobongo tayari ni billionea
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Timu ilicheza hovyo sana ni kwa vile mlikuwa na Soton tu!View attachment 2228674
Haya one man team teh teh teh teh yaaani No VVD, no Mane no Salah no problem.
YNWA
Mkitaka mushuke hadhi muwe mnampa regular minutes muone. Kuwafunga Soton kusiwadanganye, Minamino is typical a Championship player sio EPL
My Take On Taikumi
Dogo Taikumi tetesi ni kwamba amechoka kusugua benchi..kwa vile sub ni 5 msimu ujao atulie kwanza unless Klopp alimnunua kwa ajili ya kuuza kwa faida. Msimu huu ametimiza goli 10 kwa kucheza mechi chache mno za Carabao, FA na sasa EPL.
Klopp ampe msimu mmoja asaidiane na Salah upande wa kulia anatufaa kwa rotation na work rate pia ipo vizuri sana.
YNWA
Kipara ana hasira kishenzi, hio mechi ya mwisho lazima wamtandike Aston Villa goli zisizopungua 5.Steve G afanye mambo kwenye game ya mwisho...
Mkitaka mushuke hadhi muwe mnampa regular minutes muone. Kuwafunga Soton kusiwadanganye, Minamino is typical a Championship player sio EPL
Let wait and seeAna Magoli mengi kuliko Werner, Kai, Pulisic.
Licha ya Dakika chache alizocheza Msimu huu lakini amefunga Magoli 10.
Hivyo, kama Taki ni Championship palyer basi hao wa kwako ni wa Second Division player.
Ndg yangu unajishushia heshima unavyotumia nguvu kubwa kutetea kitu ambacho akiexist. Hizo goli kumi kafunga mechi zipi??Ana Magoli mengi kuliko Werner, Kai, Pulisic.
Licha ya Dakika chache alizocheza Msimu huu lakini amefunga Magoli 10.
Hivyo, kama Taki ni Championship palyer basi hao wa kwako ni wa Second Division player.
We need Raphinha. Leeds watuuzie tu.