Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

lembu a
IMG_20220514_221047.jpg
 
Nikiangalia hili kombe la FA napata kichefuchefu kudadeki ,halina hadhi kabisa takataka ....hivi hili ni kombe la kushangilia kombe limekaa kama birika
 
Hata afe mtu Chelsea tunachukua FA
RM wanachukua CL
Ninyi mbaki na Karabao ndio size yenu hata kama mna squad nzuri
This is football
Bahati
Kismati
Uwezo
Ubora
Ufundi
Nyota njema
Class
Form zote zinatumika kuleta ushindi kwa timu yeyote

Sijawahi kuona Rent Boy mwenye akili hata siku moja.
Timu haianzishwi 2005 ikapata watu wenye akili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom