Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,299
- 15,026
Asante Sana mkuu pole pia huu n uungwana Sasa sio Kama zaman muda Kama huu upo uz wa kula tunda kimasiharaHongereni Sana kwa kubeba kombe.
Asante Sana mkuu pole pia huu n uungwana Sasa sio Kama zaman muda Kama huu upo uz wa kula tunda kimasiharaHongereni Sana kwa kubeba kombe.


kinu sio kinu,birika sio birika ,ndoo sio ndoo daaaaaaaTumewapiga TenaHongereni Sana kwa kubeba kombe.

Kombe zuri pekee NI LA CL AMBALO WEWE HATA KULISOGELEA HUWEZIKombe lenyewe bayaaa ,aisee hayo makombe ya FA inatakiwa yabadilishwe Muundokinu sio kinu,birika sio birika ,ndoo sio ndoo daaaaaaa


Maneno ya wakosajiKombe lenyewe bayaaa ,aisee hayo makombe ya FA inatakiwa yabadilishwe Muundokinu sio kinu,birika sio birika ,ndoo sio ndoo daaaaaaa





Update yoyote ya injury ya salah na vvd?
Siku hizi umekua mstarabu sana mkuu ni klopp kakunyoosha hivi?Hongereni Sana kwa kubeba kombe.
Kombe limekaa kama kinu ,sijui birika ,yaaniKombe zuri pekee NI LA CL AMBALO WEWE HATA KULISOGELEA HUWEZI![]()


ila watu wanashangilia kama Nini aiseee


Punguza makasiriko jombaaKombe limekaa kama kinu ,sijui birika ,yaaniila watu wanashangilia kama Nini aiseee
![]()
Klopp mtu m'bad🤣🤣🤣🤣Siku hizi umekua mstarabu sana mkuu ni klopp kakunyoosha hivi?
Tunabeba Epl,tunabeba Champion leagueNikiangalia hili kombe la FA napata kichefuchefu kudadeki ,halina hadhi kabisa takataka ....hivi hili ni kombe la kushangilia kombe limekaa kama birika
Kombe bayaaa Sana mkuu ,embu angalia mwenyewe ,hata mtoto wa miaka kumi analinyanyua kwa mkono mmojaPunguza makasiriko jombaa




Ngoja nipotee zangu nikajiliwaze kule😂😂😂Asante Sana mkuu pole pia huu n uungwana Sasa sio Kama zaman muda Kama huu upo uz wa kula tunda kimasihara
Hayo ndio makombe ya kiume Sasa ,sio mnatupigia kelele na mabirikaTunabeba Epl,tunabeba Champion league

Hata afe mtu Chelsea tunachukua FA
RM wanachukua CL
Ninyi mbaki na Karabao ndio size yenu hata kama mna squad nzuri
This is football
Bahati
Kismati
Uwezo
Ubora
Ufundi
Nyota njema
Class
Form zote zinatumika kuleta ushindi kwa timu yeyote