one by one
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 5,835
- 9,311
Mechi ilikuwa ngumu ila nimefurahi tumeshinda. Kuna kitu nje ya mpira nimejifunza jana kujali muda, sherehe ya kufungua final ilikuwa nzuri kila kitu na kick off walisema 1845 Hrs na mimi binafsi kuona maandalizi yale nikaona hapa mechi itachelewa lakini 1845 exactly kick off watu wanaenda na muda well organized haya ni mambo ya kujifunza kwenye mpira na nje ya mpira. Bravo
