Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
, apanic haraka sana.ile mechi na Villarreal alikata tamaa mapema tumeshafungwa huku.mpira dak 90,

Tukifungwa goli lolote lile anakuwa na wasiwasi kwamba tunafungwa.

Kuna mechi ingawa siikumbuki mechi na Timu gani nilikuwa natoka Tanga nakwenda Singida sasa sikupata kuiangalia lakini kufika maeneo ya Katesh kama saa moja jioni nikawasha Data basi kuingia JF comment ya kwanza ikawa ya kwake ameandika "Leo tushafungwa" 😂😂
Nikashtuka kwanza! Kuendelea mbele nikakuta updates Tumempiga Mtu Mogoli 3 ilinibidi nicheke tu 😅😅
 
Pole ndugu maana timu yako haionekani kubeba chochote hata hapo mbeleni. Yani chochote
Time is unbeatable, analeta dharau kwamba FA Cup mickey mouse wakati kwenye Ligi kuna Pep Guardiola, angekufa na historia ya kumfunga City tu
 
Ama kweli walimwengu hamna dogo, hata sasa sisi ni mabingwa.
Sina chuki na Klopp ila nilikuwa nashangaa sana anavyopanga team B kwenye FA & Carabao, mambo yamekuwa magumu muda unaenda so anafake paka Covid test ili acheze na full squad.
 
Wakuu tu nashukuru tumebeba. Sasa nilikuwa naomba uchambuzi wenu kuhusu performance ya Konate na TAA
Captain Marvelous
Rajab Omar_ na wengineo
TAA leo tuseme didn't put the wrong foot to hurt the team...

TAA kila alipohitajika afanye jambo alijituma kadri awezavyo tukianza ni ile timely sliding hit wakati Pulisc anataka kufunga dogo akatoa kona that was massive haya muda mwingine kaokoa tena mpira ukiwa kwa speed lakini akajiamini kuokoa ile maana Alonso alikua ametega akose atupie, aisee inahitaji ukomavu maana hua rahisi kujifunga lakini dogo akafanya kama inavyotakiwa...

Kama ulitazama vyema game plan ya Thomas ilikua Alonso anacheza kama winga muda mwingi akiwa high up the pitch ili kum pin dogo TAA asiweze kushambulia na japo Alonso akifanikiwa sana kwenye hilo ila sio kwa dakika 90 kwani TAA alipata nafasi kushambulia na kutupia klosi nzuri tu sema ndio hivyo bahati kwa Diaz hakua nayo...

Jambo ambalo huyu dogo naliona kwake gemu baada ya gemu ni pale tunashambuliwa hua haangalii nani yupo nyuma yake ili ajue body position yake ili kucheza offside trick nk amekua muda mwingi pengine uchovu anakua out passed angalau hilo Klopp ameliona naamini litafanyiwa kazi maana dogo Vincious ndio zake hivyo tunahitaji no margin for error.

Amemaliza kazi yake kwa kupiga penati moja nzuri sanaa...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom