Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tusipo kuwa makini tunapigwa

Boss unatatizo la kutazama mpira kwa kitu kama wataka hivi.
Nimejaribu kuangalia comments zako kwa kila mchezo lazima kwenye dakika hata 3 za mwanzo utasema tu kuwa tunaweza kufungwa.
Na tukitanguliwa goli moja ndiyo kabisa huwa unasema tayari tushafungwa 😅😅

Jaribu kuangalia mpira kwa matumaini na kujiamini.

Asante.
 
1afcb7790e8d4db6a3523dcc1dc05bfa.jpg
 
Boss unatatizo la kutazama mpira kwa kitu kama wataka hivi.
Nimejaribu kuangalia comments zako kwa kila mchezo lazima kwenye dakika hata 3 za mwanzo utasema tu kuwa tunaweza kufungwa.
Na tukitanguliwa goli moja ndiyo kabisa huwa unasema tayari tushafungwa

Jaribu kuangalia mpira kwa matumaini na kujiamini.

Asante.
Jamaa huyu pamoja na liverpool kukamilika msimu huu bado anaangalia mpira kwa presha kubwa. Watu siku hizi kwenye vibanda umiza wanaogopa Kubishana na sisi wana liverpool
 
Boss unatatizo la kutazama mpira kwa kitu kama wataka hivi.
Nimejaribu kuangalia comments zako kwa kila mchezo lazima kwenye dakika hata 3 za mwanzo utasema tu kuwa tunaweza kufungwa.
Na tukitanguliwa goli moja ndiyo kabisa huwa unasema tayari tushafungwa

Jaribu kuangalia mpira kwa matumaini na kujiamini.

Asante.

, apanic haraka sana.ile mechi na Villarreal alikata tamaa mapema tumeshafungwa huku.mpira dak 90,

Tukifungwa goli lolote lile anakuwa na wasiwasi kwamba tunafungwa.
 
Jamaa huyu pamoja na liverpool kukamilika msimu huu bado anaangalia mpira kwa presha kubwa. Watu siku hizi kwenye vibanda umiza wanaogopa Kubishana na sisi wana liverpool

Yani usiseme! Kama hujaangalia mpira ukaingia JF ukakutana na comments zake unawezasema Klopp afukuzwe leoleo 😂

Yani Dah! Unaweza kuhisi Liverpool inacheza kama Biashara United ya Mkoani Mara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom