Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Pole sana na majukumu ndugu. Mapambano muhimu sana.Mkuu mimi nipo ila tu majukumu napunguza muda wa kuwepo humu na nikiwepo nakua nyumbani kwangu tu muda wa ziada ndio naingia huku.
Kuhusu Lukanyavu subiri msimu unaokuja atadeliver tu. Tushapata tajiri mwingine kwa hiyo mambo yanaweza kwenda sawa kwenye transfer window
Ngoja tuone muda utasema kama kweli Erling ndio silaha yao kushinda Champion League maana ndio jambo lao kuu wanalokosa kwa sasa.
Lukaku mbona kama ana hamu kurejea kule Italy Inter Milan. Ingekua powa kama kweli mchukueni mpambanaji Martinez muwape Lukaku na pale dogo mtakua mmepata jembe.
YNWA


