mazengo worriors
Member
- Aug 12, 2020
- 54
- 87
Kwahiyo unaamini kuwa kutolewa UCL pep alifanya bargaining na Madrid ndiyo akakubali,Mimi naamini kwamba hakuna kukubali ila ndiyo hivyo ukizidiwa tactics Basi kufungwa au kudroo Ni lazima siyo ombiRamli hapa itagonga mwamba maana pep hawez kubaru atolewe UCL na Epl asipambanie, hivyo imani kwangu imepotea aisee.


