Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wana mpira gani zaidi ya counter attack wanazocheza? Conte Kwa mpira huo ndio anataka kuchukua EPL kweli?
Shida sio Epl, lengo ni kumpiku Arsenal kwenda Uefa, lazima akili kubwa itumike kufanikisha hilo.
Hizohizo counter attack unazozibeza ndio zimewapatia goli moja maridadi sanaaaa.
Akili mtu wanguuuuu.
Leo ni vita ya kuku kwa kuku.
 
Shida sio Epl, lengo ni kumpiku Arsenal kwenda Uefa, lazima akili kubwa itumike kufanikisha hilo.
Hizohizo counter attack unazozibeza ndio zimewapatia goli moja maridadi sanaaaa.
Akili mtu wanguuuuu.
Leo ni vita ya kuku kwa kuku.
Unabishana na mtu asiyejua mpira. Counter ni style ya mpira timu zote zinatumia
Defending wanayofanya spurs. Liver wakijitahidi no droo wataambulia
 
Niliandika hapa, you're not technically secured, Spurs hawawezi hata kubuild play, wanapiga pasi mbili tayari wapo kwenye final third, so how is it possible? wachezaji wanahitaji kustep up, vinginevyo wanamwachia city ubingwa.
Mwache achukue kwaninkuna tatizo mbwiga? Wayaaaaa huko nyaning'we!
 
usiku mwema, matokeo nitaangalia kesho baada ya kutoka ibadani maana nisije shindwa kuabudu bure kwa uchungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom