Sijapinga maelezo yako ni huyo kocha alicheza Anfield na anamjuwa klopp vizuri lakini tuliona jinsi Villa alivyocheza vibaya Anfield. Namuongea Keita kipindi cha kwanza kama yeye hata kama hukucheza vizuri lakini alifanya makosa mengi sana kuna kipindi akataka hata kuwapa penalty wale jamaa na pass ya nyuma bila kuangalia. Baya zaidi Arnold na Robertson walicheza hovyo sana kipindi cha kwanza sio kushambulia hata defence. Sote tunajuwa Liver ni bora kuliko walivyocheza kipindi cha kwanza sasa ukisema Unai anamjuwa sana Klopp kwani alivyoenda Anfield alikuwa hamjui? second half almsahau Klop? Liver kwa team ni bora kuliko Villa kwa mbali zinatokea siku huchezi vizuri team au mchezaji. Hakuna hata mchambuzi mmoja aliona kuwa atatolewa Jota na kuingia Diaz kipindi cha pili kwa baade tulijuwa Diaz ataingia kila mtu alikuwa anaona shida ni Keita na Thiago lakini hakuwatoa. Liver waliingia na kucheza kama Liver na Mane miaka yote na mafanikio yetu alikuwa anatoka huko kushoto tusiseme leo Mane sio mzuri kushoto hiyo ndio nafasi yake. Jamaa walichoka tu mziki ulivyoanza.