Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220430_210123_com.android.chrome_edit_66574755133590.jpg


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Akuu namtaka yeyote mie.

YNWA
 
Screenshot_20220430_205136.jpg

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Huyu mkaburu haha awanunue Chelsea

YNWA
 
Naona hawajawa clinical pale mbele bado wanapapara ila hope watachukua hata point moja kama wakitulia.
Huyu Leeds mpuuzi tu ana concede goal zote hizo 4 saiv sina imani saana kama ubingwa tutachukua, kuchukua kwetu ubingwa labda pep apigwe na sisi tushinde game zetu bila hivyo tutaishia kumsindikiza kipara.
 
Huyu Leeds mpuuzi tu ana concede goal zote hizo 4 saiv sina imani saana kama ubingwa tutachukua, kuchukua kwetu ubingwa labda pep apigwe na sisi tushinde game zetu bila hivyo tutaishia kumsindikiza kipara.
Klopp kambipu Kipara kama kweli ana uhakika kutawala EPL miaka 6 ijayo basi nae asaini nyongeza ya mkataba.

Kipara akishinda UCL msimu huu naona akisepa zake mkataba ukiisha lakini akiikosa sasa aidha Mansour hatakua tena na imani nae kushinda UCL ama ataamua kusaka changamoto mpya

YNWA
 
Wakat mwingine kumbe hata ukiwa na pesa ukajaza bahari ya atlantic, haiwez kununua afya / uhai.
Acha kabisa Mkuu kifo kina siri kubwa sana... Tetesi ni kwamba kwa miezi 6 amekua akiumwo na familia wamejitahidi sana kuiweka siri lakini kifo kama kifo hata uwe na ela kiasi gani huwezi kwepa namba imetoka atungulie.

YNWA
 
Naona hawajawa clinical pale mbele bado wanapapara ila hope watachukua hata point moja kama wakitulia.
Cheki hizi kuku zilivokuwa zinajipa Moyo ....

Mtu kala chuma nne wewe ooh point Moja

Mtajuta Sana kutuacha wanaume kukaa pale juu kwa point Moja

Next

Liverpool vs Spurs

Man city vs Newcastle

Hzi marathon sis wanaume tunazijua ...
 
Huyu Leeds mpuuzi tu ana concede goal zote hizo 4 saiv sina imani saana kama ubingwa tutachukua, kuchukua kwetu ubingwa labda pep apigwe na sisi tushinde game zetu bila hivyo tutaishia kumsindikiza kipara.
Kazi uliyoshindwa unamtuma Leeds uko sawa kweli wewe pigwa misumari minne na GD ni 1 ....

Huyo Newcastle tunaenda kumla goli 5 ...

Spurs come on ...son ,Kane vunja hizi kuku
 
Hahaha Kipara kipindi cha kwanza bhana kashikwa pazuri sana.. Shinda ya Leeds hawana utulivu wana mpira wa kasi ajabu huyu kocha wao awaambia watulie na wa maintain attacking discipline ili wasiotee sana.


YNWA
Hahaaammeangalia game ya Newcastle mmeshikilia mbupu ,unakuja kutafuta nafuu kwa Leeds ,na yeye kala chuma nne ....this is ze cityzen
 
Sorry, Washabiki wenzangu naomba kiwauliza! Hivi ni kweli kuna Mtu alitegemea Leeds United amzuie Man City?

Manake nimepitia baadhi ya comments nahisi kulikuwa na kitu kama False hope kuwa Leeds atamzuia Man City.
 
Sorry, Washabiki wenzangu naomba kiwauliza! Hivi ni kweli kuna Mtu alitegemea Leeds United amzuie Man City?

Manake nimepitia baadhi ya comments nahisi kulikuwa na kitu kama False hope kuwa Leeds atamzuia Man City.
Ilikua ngumu sana labda tu kama ni maajabu ya mpira ila in reality city wapo extra mile kufingwa na timu dhaifu kama Leeds. Tumaini pekee n Newcastle walau wanaweza rusha ngumi za uso
 
Hahaaammeangalia game ya Newcastle mmeshikilia mbupu ,unakuja kutafuta nafuu kwa Leeds ,na yeye kala chuma nne ....this is ze cityzen
Aisee. Wewe mwenyewe umeibuka humo baada ya ushindi ulikua umebana mahali ukisubiri upate matokeo yako ndio ukimbie hapa nwa gemu ya kwanza ulimpiga 7 angalau jana japo kakupa platform ya kupunguza goal difference mpaka sasa ni 1 hukumpiga 7.

Kapambane na Don Carlos na sisi tupambane na Unai El Cholo then mwenye kiu zaidi atatua zake pale Paris fainali Uefa.

YNWA
 
Cheki hizi kuku zilivokuwa zinajipa Moyo ....

Mtu kala chuma nne wewe ooh point Moja

Mtajuta Sana kutuacha wanaume kukaa pale juu kwa point Moja

Next

Liverpool vs Spurs

Man city vs Newcastle

Hzi marathon sis wanaume tunazijua ...
Ilikua aje kama mnazijua mkaruhusu tofauti ya pointi 14 iwe pointi 1 sasa?

Mpaka sasa Manchester City ni favourite kama ilivyokua hata kabla ligi haijaanza. Cha msingi ni kila mmoja ashinde mechi zake ikitokea mmoja ameteleza basi asahau ubingwa.

Tottenham H. Spurs anakuja machijioni Anfield bila shaka baada ya kujihakikishia(((winning angels be with us))) fainali ya Uefa tumo sasa nguvu zote zitahamishiwa humu kwa EPL itakua full mziki.

YNWA
 
Aisee. Wewe mwenyewe umeibuka humo baada ya ushindi ulikua umebana mahali ukisubiri upate matokeo yako ndio ukimbie hapa nwa gemu ya kwanza ulimpiga 7 angalau jana japo kakupa platform ya kupunguza goal difference mpaka sasa ni 1 hukumpiga 7.

Kapambane na Don Carlos na sisi tupambane na Unai El Cholo then mwenye kiu zaidi atatua zake pale Paris fainali Uefa.

YNWA
Spurs anawamaliza ,katafuteni kombe la nne mtakalochukua ila sio epl
 
Spurs anawamaliza ,katafuteni kombe la nne mtakalochukua ila sio epl
Hahahaha Spurs yupi animalize aisee labda na hio mechi VAR walale usingiz kama ile mechi ya kwao lakini kama itakua fair game ni imani sana vijana wangu kumchapa za kutosha Anfield na pazuri mechi za Spurs akija pale hua ni magoli mvua sitegemie na hii iwe tofauti kwani nao wanapataka sana nafasi ya nne.

YNWA
 
Spurs atatua anfid timu ikiwa haina presha inasubiri fainali Uefa, atapangiwa kikosi full tofauti na New Castle pira litapigwa na anfid hatoki mtu

City atakuwa katupwa nje ya mashindano uefa atakuja na hasira kali, atashinda game hii, wakumzia ni West Ham tu ndiye mwenye ubavu wa kuzoa point 3 mbele ya kipara huku liver tukishinda games zote na kuwa mabingwa
 
Spurs atatua anfid timu ikiwa haina presha inasubiri fainali Uefa, atapangiwa kikosi full tofauti na New Castle pira litapigwa na anfid hatoki mtu

City atakuwa katupwa nje ya mashindano uefa atakuja na hasira kali, atashinda game hii, wakumzia ni West Ham tu ndiye mwenye ubavu wa kuzoa point 3 mbele ya kipara huku liver tukishinda games zote na kuwa mabingwa
Maake kwanza nicheke

Unaonesha namna gani wewe ni kuku halisi ,
 



πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
KLOPP MINNE TENAAAAAAAAAAAA
YAAANI GOOD TIME ZA NGUVU SANA.

πŸ”₯ πŸ”₯ πŸ”₯ πŸ”₯ πŸ”₯ πŸ”₯ πŸ”₯ πŸ”₯ πŸ”₯

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom