Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Porto walipigwa mchana kweupeeeeee
YNWA
View attachment 2206284
Aisee tupo hatupoiiiiiiiiii iwe ugenini au nyumbani kote tunaupiga mwingi sana.
YNWA
Tupo vizuri sana hakika huu ushindi sii mwepesi ugenini mchana huku tumetoka kucheza Anfield vs Villarreal gemu ngumu yaaani naona kama hii ratiba ya sasa inafanya vijana wazidi ku wa prove doubters kwamba wamekomaa.Mkuu Newcastle wako vizuri sana Aisee,wakikutana na timu ambazo hazieleweki lazima wapate matokeo.
Vijana wanapambana sana.me sijaona timu ya kutufunga mpaka sasa kwenye timu zilizobaki maana Newcastle round ya pili wako moto ndio wamekusanya point nyingi ukituondoa sisi,lakini kwetu tumewakalisha.
doubters to believersTupo vizuri sana hakika huu ushindi sii mwepesi ugenini mchana huku tumetoka kucheza Anfield vs Villarreal gemu ngumu yaaani naona kama hii ratiba ya sasa inafanya vijana wazidi ku wa prove doubters kwamba wamekomaa.
Never Give Up.
YNWA
Hahaha Klopp anasema kama unanunua tiketi yako kuhudhuria mechi za Liverpool na hauamini tunashinda basi tulia nyumbani tu. Anahitaji positive vibes wahudhurie mechi tu sio doubters 😂😂😂😂doubters to believers
Thank you klopp #YNWA
Nililisema hili jana mkuu kuwa keita apewe hata mkataba wa two years.
Klopp alishasema apewe ngoja Juni itajulikana kama wenye timu yao wanataka abaki ama auazwe.Nililisema hili jana mkuu kuwa keita apewe hata mkataba wa two years.
Keita amejifunza kutokukaa na mpira muda mrefu thus why hata injuries zimepungua.