Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220430_175056_com.android.chrome_edit_59557065123724.jpg


YNWA
 
Screenshot_20220430_174939_com.android.chrome_edit_59542121159143.jpg


😂😂😂😂Mara pap na huyo namba mbili Tchouameni akatua Juni hii yaaani wapinzani watajua hawajui.... Pale kati itakua Fabinho Thiago Tchouameni.

Come on Ward ebu tu sapraiz kama kwa Diaz atue huyu dogo na pale tutakua sorted.

YNWA
 
Screenshot_20220430_174732_com.android.chrome_edit_59496746132587.jpg


Bado utasikia ooh hamna kitu haya data ndio hii hapa si Uingereza tu mbali Ulaya ligi bora hakuna kama Liverpool kwa ma clean sheets aisee make some noise for the back line 😛😛😛😛😛😛😛💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Fortress squad.

YNWA
 
TAA anawangoja wale nyambizi wa manjano, game itabidi iishe first half tupumzike tuwangoje spurs, binafsi sijakata tamaa na EPL kabisa.

Nafatilia game na leeda hapa naona Citizen anastruggle, leeds wanacheza mpira mkubwa sanaa.
Hahaha Kipara kipindi cha kwanza bhana kashikwa pazuri sana.. Shinda ya Leeds hawana utulivu wana mpira wa kasi ajabu huyu kocha wao awaambia watulie na wa maintain attacking discipline ili wasiotee sana.


YNWA
 
Hahaha Kipara kipindi cha kwanza bhana kashikwa pazuri sana.. Shinda ya Leeds hawana utulivu wana mpira wa kasi ajabu huyu kocha wao awaambia watulie na wa maintain attacking discipline ili wasiotee sana.


YNWA
Naona hawajawa clinical pale mbele bado wanapapara ila hope watachukua hata point moja kama wakitulia.
 
Screenshot_20220430_174752_com.android.chrome_edit_59507979956544.jpg


So walisema ni mwezi mgumu sana tutapoteza hata gemu 1 au sare 3 lakini mpaka April inaisha mambo yamekua tofauti kabisa na walivyotabiri wengi.

Kazi imeeleweka sana.

🥂 🥂 🥂 🥂 🥂 🥂 🥂 🥂 🥂 🥂 🥂 🥂 🥂 Cheers to the boys, the fans, the coaching staff .

YNWA
 
Naona hawajawa clinical pale mbele bado wanapapara ila hope watachukua hata point moja kama wakitulia.
Yeah hata pasi pale mbele wanachelewa kupiga na mpaka pale zimepigwa Citizens wamesharudi kwenye defensive set up.

Ngoja tuone angalau performance yao kipindi cha kwanza imewatia moyo wanaweza kuambulia chochote kipindi cha pili.

Kipara naona akifanya sub aweke utulivu.

Hivi huyu Grealish walitoa aje £100m jamani yupo kama Lallana aliechangamka.

YNWA
 
Screenshot_20220430_205157_com.android.chrome_edit_66671743240347.jpg


😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Ngumu kuamini lakini ndio ukweli once mighty Manjesta ndio wana hali hiiii

YNWA
 
Screenshot_20220430_205616_com.android.chrome_edit_66635888372123.jpg


😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Tunakwenda kuwazamisha kwao sasa.

YNWA
 
Screenshot_20220430_205817.jpg


😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Kipara jamani.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom