Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Next season hatupaswi kufanya kosa lolote kwenye Ligi then tutaweza kumshinda Pep kwani tukikosea tu ni vigumu kumshinda post January
 
Mechi niliyo kuwa naiogopa ni hii, Asante Mungu tumetoboa na ninaimani mechi zijazo tutatoboa. Lineup haikuwa poa sana kuwa tutapata matokeo mazuri All in all Klop anafanya Rotation vyema japo kwa leo ilikuwa risk sana kwa kikosi kile na mechi ngum.
 
Next season hatupaswi kufanya kosa lolote kwenye Ligi then tutaweza kumshinda Pep kwani tukikosea tu ni vigumu kumshinda post January

Huwaga hatufanyi makosa ila kinachotokea ni wachezaji wetu wakutegemewa wote wanakuwa wameumia hata kama unaongoza goli 2-0 ,ox na jones hawawezi kuzuia wasirudishe hayo magoli,hicho ndio kilichotokea sasa hivi tunauhakika kwasababu wachezaji wetu wakutegemewa wote wapo .

Wachezaji wetu wakiwa kama hivi tutashinda mechi zote.

Me huwasilaumu maana nakumbuka vizuri mechi na Albrighton mido zilikuwa Jones,ox na Henderson nje hakuna sub yoyote ya maana Halafu tunaongoza 2-0, kuna muda tunataka kufanya sub lakini aingie nani? Hakuna mtu wa kuingia kubadilisha matokeo wote watoto wapo nje.
 
Yaani Liverpool imekuwa kama machine ya kuchakata uchafu inakula kila takataka inayopita mbele yake
Bhana St James tangu January nadhani ndio wamefungwo kwa mara ya kwanza leo.

Wamekumbali roho safi wamepigika 1 siku nyingine zingekua 3 au 4.

YNWA
 
Tusipokua makini hapo tunaweza draw...
Klop cjui kwann hua n mgumu kufanya sub

Mkuu usiwe na wasiwasi tuko vizuri sana.ulivyokuwa unawaza wewe hayo mambo yalikuwaga zamani tunacheza kwa kubahatisha.

Sasa hivi Msimu mzima mpaka saizi tumefungwa mechi tatu leicester,westham na inter milan,

Na tumepitia changamoto nyingi tumejifunza,kwa hiyo usiwe na wasiwasi kabisa kuwa na amani kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom