Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huwa nawashangaa sana watu wanaotembelea historia kutabili matokeo , badala ya kuangalia kikosi cha Sasa kilichopo ....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
View attachment 2200432

Jamani huyu akemewe mazima hii nuksi itupite mbali sanaaaaa.

YNWA
Kuna kila dalili hili jini likatafunwa na jogoo dry.

Mtoto gani sijui atatolewa.. Naiona liverpool fainali, akikutana na madrid basi this time madrid hana chake, ila akikutana na man city kazi ipo na kuna kila dalili fainali ikawa vs man City.

Save my comment.
 
Hahahahaha kwa sasa hii pointi moja lazima uchapike ama utoe sare ili sasa tuanze mbio za nani mwenye magoli mengi.

Inaweza kutokea ileeeee ya mwaka 2012 Aguero anafunga goli vs QPR mkachukua kwa goal difference

Pep alisema ni ngumu kushinda mechi zote.
Klopp alisema ni ngumu kushinda mechi zote.
Kwetu mashabiki tunataka ushindi tu lakini tunafahamu sio rahisi tazama tu Jumapili Everton ndani ya kipindi cha kwanza wanajiangusha tu hovyo ili mradi watuvuruge nayo ni mbinu ambayo ilifanikiwa kipindi cha kwanza.


YNWA
 
Uzuri wa EPL una matokeo ya kustukiza sana kiasi hutaamini.

Kumbuka Manchester City akichezea 3 kwa Norwich ama Liverpool akichezea 3 kwa Watford yaaani ndio raha ya EPL.

Kwa sasa nionavyo ili twende sawa msimamo ni ule ule kila mmoja ashinde mechi zake haina maana Kipara atoe sare na Westham aafu tuchapike na Spurs hivyo kama alivyosema Klopp ni kwamba anachoweza kumpamba ni ushindi mechi zetu tu na sio za Manchester City hivyo tushinde zetu ikitokea Kipara kachapika itakua ni blessings in disguise kwetu.

YNWA
 
Sema jamaa ni fundi,halafu anafunga mechi zilizoshindikana ambazo wenzake wote wameshindwa kufunga.

View attachment 2200957
Mkuu mie nachojiuliza ni hio mentality yaaani huo utayari wake kuingia na kupambana vile huku akiwa hajacheza wala hata uhakika wa kucheza haupo tena of course Mos alisema alikua akicheza mechi kadhaa mkataba wake unaji renew automatically pengine Klopp kaona akasake maisha kwingine benchi sio mahala pake.

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…