Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Hivi ikitokea kuna mpenzi wa ku beti aliweka Liverpool anashinda yote manne yaaani EPL, Carabao, FA na kubwa lao UCL basi huyo atakua tajiriiiiii.
Malaika wa ushindi wawe nasi.
YNWA
Mido pendwa ya mashabiki hii iendelee kufanya vyema mana hapo anaviziwa aflop mtu kelele zianze.
Mfumo wa kupaki basi huwa unatusumbua sana kupata matokeo.Everton washenzi wamepack bus wote wako nyuma saivi wanacheza 9 1
Hahahaha bhanaaaa wametega aisee uone twita na kwingine kukiwaka moto.Mido pendwa ya mashabiki hii iendelee kufanya vyema mana hapo anaviziwa aflop mtu kelele zianze.
Walau kocha kapunguza upendeleo japo atamuingiza Milner kama kawa
Sana mkuu, yaani mpaka nimeanza kupata wasiwasi wa ushindi wa hii gameMfumo wa kupaki basi huwa unatusumbua sana kupata matokeo.
Mkuu yaani nimefatilia post zako nyingi unatumia kufungwo badala ya kufungwaDuuuh hawa Everton watafungwo tu waache mbinu za El Cholo hazitawasaidia kusaka ushindi wasishuke daraja.
YNWA


Hawataki tufukuzane na Man city shenzi kabisa.jamaa wamekuja kuvuruga mipango tu, shenzi kabisa hawana mpira