Wala sina maumivu ndugu ile mechi sikutegemea upigike labda kama ujiamini...Kumbe mnaangalia mpira kwa maumivu makali![]()
Aisee kumbe upoooooo maaana baada ya kile kipigo cha Wembley ni kama ulipunguza matembezi humu karibu tenaaa aisee.Watford alishawahi kukupiga 3-0 umesahah ...!
Kakutana na the champion of England ,tunampiga magoli mpaka yanaonekana mepesi ...!
Nakumumbusha tu hakuna goli jepesi kwenye football ..
Kama nyie mnaweza tufuaten pale juu
80 point clear top of the table
5 games to go ...!
Si point 1 tu nachoamini gape litaongezekaBinafsi nimeshakata tamaa na Ligi, matumaini yangu yapo tuu UEFA na fainali FA,
Tumezinduka lakini tumechelewa kutokana na aina ya timu tunayoshindana nayo, City huwa anaanza msimu kwa kusuasua pale ndipo nafasi ya kuwapiga gap na kuwa na consistency, ligi ikichanganya huwa hawakamatiki, we are good ila zile sare za chelsea na Brentford ilitakiwa tupate points tatu,
Tukutane next seazon klop aimarishe kikosi na atoe kina keita, Ox, alete watu imara timu ianze ligi ikiwa imara na consistency ndio tutaondoa huu utawala wa City
inaumiza kupoteza kwa point 1 ila daah ndio football
Anything can happen.Binafsi nimeshakata tamaa na Ligi, matumaini yangu yapo tuu UEFA na fainali FA,
Tumezinduka lakini tumechelewa kutokana na aina ya timu tunayoshindana nayo, City huwa anaanza msimu kwa kusuasua pale ndipo nafasi ya kuwapiga gap na kuwa na consistency, ligi ikichanganya huwa hawakamatiki, we are good ila zile sare za chelsea na Brentford ilitakiwa tupate points tatu,
Tukutane next seazon klop aimarishe kikosi na atoe kina keita, Ox, alete watu imara timu ianze ligi ikiwa imara na consistency ndio tutaondoa huu utawala wa City
inaumiza kupoteza kwa point 1 ila daah ndio football
Kwani lazima uishi kwa presha. Ukifurahia burudani Letu utapungukiwa nn?Kesho ni shabiki kindakindaki wa Everton ....!
Lampard unahitaji point Moja tu pale anfield
Mmepata cleansheet ya ederson?Kesho ni shabiki kindakindaki wa Everton ....!
Lampard unahitaji point Moja tu pale anfield
Deniss kaharibu ubaoMmepata cleansheet ya ederson?
...!Huyu Babu Mbrazil alipigiwa pande la kazi na Allison.
Ni kocha wa makipa kalete mbinu za kutosha kiasi Klopp alibaki mdomo wazi alivyo hodari kwa kazi yake.
YNWA
Ubingwa wetu msimu huu acha kukata tamaa mapemaBinafsi nimeshakata tamaa na Ligi, matumaini yangu yapo tuu UEFA na fainali FA,
Tumezinduka lakini tumechelewa kutokana na aina ya timu tunayoshindana nayo, City huwa anaanza msimu kwa kusuasua pale ndipo nafasi ya kuwapiga gap na kuwa na consistency, ligi ikichanganya huwa hawakamatiki, we are good ila zile sare za chelsea na Brentford ilitakiwa tupate points tatu,
Tukutane next seazon klop aimarishe kikosi na atoe kina keita, Ox, alete watu imara timu ianze ligi ikiwa imara na consistency ndio tutaondoa huu utawala wa City
inaumiza kupoteza kwa point 1 ila daah ndio football
Aisee kumbe ni decorated fella safiiii especially kwa makipa makinda watapata elimu safi kabisa.Anaitwa Claudio taffarel alikuwa golikipa wa Brazil mwaka 1994 wakati Brazil wanachukua World Cup.