Spurs lazima atawagonga tu ....son ,Kane hawatawaacha salamaOya inabidi Spurs aje Anfield kujibu mashtaka ile 2-2 aliipataje![]()
Huyo Thiago mbona mnampamba sana sijaona uhodar wake mnamu overate tu.
Hata mimi huwa nashangaa Sana , kuku banaHuyo Thiago mbona mnampamba sana sijaona uhodar wake mnamu overate tu.

Huyo Thiago mbona mnampamba sana sijaona uhodar wake mnamu overate tu.
Hata mimi huwa nashangaa Sana , kuku bana![]()
Super jack grealish the best player of all time in England,anapata namba kwenye kikosi cha taifa england na kuaminika hasa kuliko captain wenuFootballer recognizes footballer! Sasa wewe hata Chandimu hujawahi kucheza utauonaje uwezo wa Thiago?
Endelea kuangalia uwezo wa Xhaka na Lokonga tu ndiyo size yako Kijana.
Mwenye uwezo ni Grealish tu anayesumbua EPL muliyemnunua kwa bei rahisi.

Inatosha sisi wa Liverpool tukiona uhodari wake..Huyo Thiago mbona mnampamba sana sijaona uhodar wake mnamu overate tu.
Mkuu kumbe ban nikajua swaumu na majukumu bhana ndio maana huonekani humu.Dah! Angalau leo nimemaliza Ban
Manchester United hata wangeweka pale nyuma mabeki 6 ama 7 wanegpasuka tu.Nimeangalia hii picha nimegundua apart from Individuals issues ila united pia wana tactical issues, kivipi?
Kwenye picha Liverpool anabuild play in 3-1 shape, wakati United anapress kwa 4-4-2 shape, liverpool ana extra advantage kwenye first line sababu ana numerical superiority 3v2, yaani watatu wanapressiwa na wawili wa united,
kwenye last line ana 6v4 wachezaji wanne wa United wanablock watu sita. Sikuangalia mechi so sijajua kwenye settled play walikuwa wanashift vipi defensive shape, may be walikuwa wanadefend na back 5.
So Rangnick angefanya nini?
Binafsi ningemshauri Man mark Fabinho ili kupunguza circulation kwenye midfield anaporeceive mipira from the first line, so Liverpool either wangecheza long balls kuitafuta settled play thru 1st & 2nd balls winning or Thiago adrop kwenye deeper areas kureceive, so shape ingechange kuwa 3-2-5 ingempa Rangnick ahueni sababu kwenye last line ingekuwa 5v4 then kama mchezaji mmoja wa united angedrop kuform back 5 ingematch up kuwa 5v5. So wangefungwa may be kwa kukosa intensity na sio tactical aspect of the game. Lakini kwa hali ilivyo inaonesha United wanakosa proper structure na wachezaji wengi ni toxic players.
View attachment 2196559
Nimekuelewa sana mkuu, humu mna mtaji mkubwa wa kudiscuss issues, sisi tuna kina ComputerarsenalManchester United hata wangeweka pale nyuma mabeki 6 ama 7 wanegpasuka tu.
Kwa kifupi playing kwenye level za juu EPL inahitaji kabla ya yote nidhamu ya kuweka position kulingana na maelezo ya kocha ama kutokana na opponent unaekutana nae. Pale unavyona Maguire alikua Out of position na kwa hilo tu ni kosa kubwa vs Liverpool wenye quick remarkable runners Trent, Salah, Mane na Diaz lazima wangefungwo tu.
Ni kweli ukimvuruga Fabinho unavuruga ile fluidity pale kati lakini ili ufanikiwa hilo lazima uwe na ballers maana pale tunapozidiwa kati hua MF wengine wa narudi nyuma kumsaidia bald baddest Fabinho tazama stat za Thiago anvyocheza inakua kama double pivot mechi zingine na hapo ukicheki stat utaona Fabinho hio mechi anakua crowded
Kingine pia kwetu Fabinho sio creator ki vilee wala muanzilishi ya mashambulizi yetu yeye moja ya kazi yake ni kua 1st line ya defence pale tumepokonywa mpira huku Trent na Robbo wakiwa high up the field na wamekua bypassed basi kazi ya Fabinho ambae muda huo kuna high line anakua almost ni beki sasa akisaidiana na Matip na VVD.
Ukitaka kuwadhiti Liverpool basi dhibiti Trent na Robertson hapo utakua umeua main creators. Na hawa ndio circulators wakuu maeneo ya hatari. Huku MF wao wali recycle passes kama hakuna mpenyo.
Otherwise Profesa kuanza na mabeki watano pale nyuma ambao pia janga kama Jones sina uhakika hata kama kwa miaka hii miwili hata ana gemu 5 amecheza yaaani huyo ndio asimame na Diaz kweli.
Kingine kutokua clinical ma kujiamini kama Rashford alipata nafasi 2 ambazo zamani angetupia lakini sasa pana shinda pale hakufunga.
Liverpool tuna momentum tazama ile pasi ya Mane kwa Salah yaaani ni kiwango na hakubahatisha. Hivyo wale kupigwa ilikua haikwepeki na unashangaa magoli mengi hapana tena ni machache aisee.
YNWA

Mwanzoni ulisema Man U lazima atupige, leo hii unahamia kwa spurs?Spurs lazima atawagonga tu ....son ,Kane hawatawaacha salama


Kabisa ndugu...Nimekuelewa sana mkuu, humu mna mtaji mkubwa wa kudiscuss issues, sisi tuna kina Computerarsenal
Najua liverpool ni top team, ofcourse mnaimplement positional play, so mlikuwa mnauwezo mkubwa wa kuwadestroy no matter what, of course hata build up ya goli la pili ilitokana na positional play na ule mpira ni mkubwa sana si level ya United.
Lakini mbali ya kuwa wachezaji wa united ni mabitoz wameshindwa kuweka intensity within structure ila bado hata Profesa amefeli kuafford a top structure kuipa timu uwezekano wa kushinda mechi.
So 4-4-2 press nadhani hawa wawili mbele lengo aliplan kuclose passing lanes to #6 Fabinho asiweze kureceive in between the lines ili kuua central progression, so profesa akajipanga kucounterpress km mngecheza long balls, unfortunately Thiago anadrop kwenye deeper areas / TAA anakuwa inverted zaidi kureceive kwenye 2nd phase na shughuli ya profesa ikaishia hapo.
Nahisi ilikuwa ban yako ya kwanza.....pole mwambaDah! Angalau leo nimemaliza Ban
Super jack grealish the best player of all time in England,anapata namba kwenye kikosi cha taifa england na kuaminika hasa kuliko captain wenu![]()
Kama hujauona uhodari wasThiago Basi Nina mashaka na UJUVI WAKO WA SOKAHuyo Thiago mbona mnampamba sana sijaona uhodar wake mnamu overate tu.