Huyu Babu Mbrazil alipigiwa pande la kazi na Allison.
Yaani hadi Asenali wanawatandika🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni kaupepo tu katapita 😂😂😂😂
Yaani hadi Asenali wanawatandika🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂Hatari💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Aiseee yule Kipara rasmi anatua mpeni muda sasa msi take quick fix vinginevyo wala hayapiti unavyotegemea.Ni kaupepo tu katapita 😂😂😂😂
Mbio za nafasi ya nne msimu huu zimenoga sana yaaani hakuna mwenye uhakika maana na huyu Aseno utashangaa anachezea kwa timu usiyotegemea.Yaani hadi Asenali wanawatandika🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu huyu dogo wa Watford Emmanuel Dennis unamuona aje hua namwelewa sanaaa kuliko yule Sarr.Naona Watford wameamua kumzawadia magoli man city![]()
Hahahaha anamuwaza Allison jamani haya...Huyu Pain killer anajitekenya na kucheka mwenyewe, hivi hamna mashabiki wengine wa Man city?View attachment 2197838
Kumbe mnaangalia mpira kwa maumivu makaliMkuu huyu dogo wa Watford Emmanuel Dennis unamuona aje hua namwelewa sanaaa kuliko yule Sarr.
YNWA



Watford alishawahi kukupiga 3-0 umesahah ...!Naona Watford wameamua kumzawadia magoli man city![]()
