Maupay anawangoja awapeleke upaiEti mmebaki na mechi ngum, tena mechi ngum ni man u hawezi kubali kupigwa, mashabiki wa man city bhana
![]()
Nimefurahi Salah karudi
Henderson leo klop kamtafutia sababu ya kumpiga bench mechi zijazo
Assist ya mane ni moja kati ya assist bora sana kuiona maishani...And then SalahView attachment 2193452
AmenCity kesho anafungwa au ana droo
liva ilishatoa rambrambi zake dskika ya 7 ya mchezoKikubwa nilichojifunza leo ni Liverpool na mashabiki wake kukosa ubinaadamu pamoja na utu hata kwa wafiwa.
Watu tupo kwenye huzuni ya msiba badala ya kuwafariji wafiwa nyie ndio kwanza mnatuongezea simanzi.
Kikweli kabisa sijazipenda tabia zenu.
