OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Fainal kama Ile usifananishe na karabao mkuu ..mara ya mwisho Ramirez na Didier Drogba walileta msiba hapo hapo Wembley..Safi sana ila kwa kuhofia aibu na kelele zako FA tutashinda ili heshima iendelee
#CFC💙💙💙

