Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Hivi kwamba Liverpool sasa hivi ni wa motoooo balaa kiasi hata baadhi ya mashabiki wa Manchester United wanasema tusiwapige mvua kama kule Theatre of dreams...

Aisee ina maana hii timu yao wanacheza kukamilisha ratiba tu hakuna kingine jamani pamoja ni kwamba Liverpool tuliwai kua vimbaya zaidi yao lakini gemu zetu dhidi ya Manchester United na Everton kipindi kile tukikutana nilitegemea ni ushindi tu hakuna sijui tupigwe machache wala nini.

Wazungu wanasema " kicks of a dying horse can be dangerous" hivyo hakuna wepesi wowote kwenye gemu ya Liverpool na Manchester United au Everton cha msingi ni mikakati ya Klopp na pale kati ningependa nione MF ya Thiago, Keita na Fabinho mechi ya Jumapili pale Wembley walinipa show moja kabambe sana.

Liverpool Baba Lao.

YNWA
 
Hivi kwamba Liverpool sasa hivi ni wa motoooo balaa kiasi hata baadhi ya mashabiki wa Manchester United wanasema tusiwapige mvua kama kule Theatre of dreams...

Aisee ina maana hii timu yao wanacheza kukamilisha ratiba tu hakuna kingine jamani pamoja ni kwamba Liverpool tuliwai kua vimbaya zaidi yao lakini gemu zetu dhidi ya Manchester United na Everton kipindi kile tukikutana nilitegemea ni ushindi tu hakuna sijui tupigwe machache wala nini.

Wazungu wanasema " kicks of a dying horse can be dangerous" hivyo hakuna wepesi wowote kwenye gemu ya Liverpool na Manchester United au Everton cha msingi ni mikakati ya Klopp na pale kati ningependa nione MF ya Thiago, Keita na Fabinho mechi ya Jumapili pale Wembley walinipa show moja kabambe sana.

Liverpool Baba Lao.

YNWA
Mkuu,
Kwanini asianze Jordan Henderson?
 
Mkuu,
Kwanini asianze Jordan Henderson?
Henderson gemu ikiwa na presha kubwa kipindi cha kwanza hua hana utulivu. Ana mipira fulani ya kurudisha nyuma muda mwingi badala apeleke mashambulizi mbele ama side ways kwa Robbo ama Trent.

Sio gifted kama Keita au Fabinho au Thiago ambao wanakupa vitu vingi kwa wakati mmoja.
Binafsi naona aingie kipindi cha pili kama tu pale Wembley.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom