Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Klopp is the King.
YNWA
Kipara anatamani amkate vibao



Leo katalala na stress


Ndiyo raha ya kumaliza biashara asubuhiIla zingeongezwa dakia tatu tu, ngoma ingetoka droo

and the pain goes to Chelsea fans.Hongereni sana. Mapambano bado yanaendelea.
Ahahahahaaa mkuu punguza mtungi😃😃😃Wakuu
Mkiona kesho kwenye habari wakitangaza kuwa kijana mmoja mwenye jezi ya Liverpool amekutwa amefia kifuani kwa mkewe mjue ndio mimi.
hii Liverpool inanipa raha kuliko mke wangu
Captain Marvelous
View attachment 2190006
sasa mkuu nitafanyeje na kesho sikukuu tenaAhahahahaaa mkuu punguza mtungi😃😃😃


and the pain goes to Chelsea fans.
View attachment 2190009





ila mie kwa kile kikosi wala hata sijashtuka yaan.