Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

First goal.
1650120415490.gif
 
Hahahhahahah wana Liverpool tutambe tu Leo city ana hali ngumu niliwaambia mapema sana asipikua makini atalambwa nyingi...
 
Asilimia kubwa ya mashabiki wa Liverpool huwa hawajisifu saaana kuwa wao ni bora, nashangaa watu wanavyo jisifu kuwa wanaenda kumpiga man city direct acha dakika 90 ziongee matokeo yoyote mimi nitayapoke
Kwa hiki kikosi cha city alichotupangia leo ingekua dhambi kama ningeacha kutamba...

Leo ndo siku ya kumuoshea kipara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom