Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220416_104338_com.android.chrome_edit_69035035955090.jpg


YNWA
 
Mimi nishaona kikosi ,matokeo yeyote ni poa tu kwangu ....!
Aisee yaani kiungo chenu ovyo kabisa... Halafu nikiangalia Leo Klop kapanga kikosi navotamani yaani ni full mashambulizi mtajuta nakuambia we subiri..
 
Asilimia kubwa ya mashabiki wa Liverpool huwa hawajisifu saaana kuwa wao ni bora, nashangaa watu wanavyo jisifu kuwa wanaenda kumpiga man city direct acha dakika 90 ziongee matokeo yoyote mimi nitayapoke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom