Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,780
Kwa Sasa liverpool ni timu Bora sana muko kwenye peak na hii chance kwenu ya kufanya vizuri msimu huu ..hongereni kwa Hilo ..sisi Chelsea bwana alaah tunajipanga msimu ujao.
#CFC![]()





Kwa Sasa liverpool ni timu Bora sana muko kwenye peak na hii chance kwenu ya kufanya vizuri msimu huu ..hongereni kwa Hilo ..sisi Chelsea bwana alaah tunajipanga msimu ujao.
#CFC![]()





#transfersTNaona kwenye media na wachambuzi majuu wanaadika hivyo wengine wakisema yupo karibu ku saini sasa.
Wachambuzi wanadai hii itamsha wachezaji wengine kama Mane atasema nipeni 350k kwa wiki nisaini hata VVD, Allison nk wanaweza kurudi kwenye meza ya majadiliano upya. Maana VVD anapata 220k kwa wiki mpaka 2025 sasa atakumbali kubakia alipo na huo mshahara mpaka 2025.
Muda utasema kama ni kweli anasaini kwa 400k ama la.
Akisaini ni powa.
YNWA
Acha ushabiki mandazi na acha matusi dogo.Wewe ni falaaaa msimu umeisha au unatingisha wowowoo humu kupachikwa ukuni ...CWC imechezwa lini kinabo wewe ,hio si mwaka Jana![]()
Alafu huyu ni kama OllaChuga Oc ambaye huangalia mpira kwakutumia Livescore achana naeTatizo unaongea kwa kuangalia mpira kwenye tv ushawahi kwenda hata Ethihad acha zako game yetu uliomba iishe kwa ile sare acha ushabiki wako ongea kimpira wewe


Tatizo unaongea kwa kuangalia mpira kwenye tv ushawahi kwenda hata Ethihad acha zako game yetu uliomba iishe kwa ile sare acha ushabiki wako ongea kimpira wewe
Klopp huyu amgempata huyu dogo Darwin na Bissouma tutakua fire sanaaaaa. Nadhani hata jibu la ile high line lingepatikana maana dogo pamoja na urefu ni mwepesi balaa pia anakaa na mpira vyema sana kusubiri wengine watue mashambulizi yaanze.Darwin Núñez on potential Premier League move in the summer: “I really don’t know what’s gonna happen. But I’m not gonna speak about my future before the end of the season”.#transfers
“Cavani - he’s my idol”, Darwin also added. Benfica want around €75/80m to sell Núñez.
Hili la kutopata ushindi nyumbani kwa Klopp ni kama vile ni "dead rubber " maana anakua kashapata ushindi ugenini hivyo Anfield anakua anamaliza tu ratiba kuvuka hatua ya inayofuata.WAKUU SHALLOM WANA LIVERPOOL
Tujadili hili la Liverpool ilikiwa nyumbani kucheza kwa kusuasua hasa mashindano ya UCL kwenye hizi game mbili dhidi ya Inter na Benfica
Tuwe wakweli katika hili Benfica walikuwa washachomoa zote tatizo lao hawakujua offside na onsd wanaanzisha vzr mashambulizi wanapofika golini wanarudisha nyuma kidogo afu wanapanda tena tayari offside
1) Kingine binafsi ningependa apite Madrid tulipize japo upande mwingine siwataki maana wanacheza soka la tofauti na soka la England daah
2) Ningependa tukutane na City ili iwe game nzuri maana soka linajulikana kwa uchezaji na aina ya wachezaji wenyewe Madrid hawana soka bali wana matokeo hawajali wanachezaje wao ni ushindi tu
SASAHIVI UKIWA SHABIKI WA LIVERPOOL UNA UHAKIKA WA FURAHA NA AMANI NA UTULIVU ❤️ LIVERPOOL
Kuishabikia liverpool ni usaliti mkubwa sana nitakuwa nimefanya. Huu msimu muko faya aise musipobeba hata angalau uefa au EPL duh nitawashangaa sana ..ila msimu ujao kwa watu kama Salah, Mane, Firmino Kuna wezekano wakapwaya na kiwango kushuka. Hivyo huu ndio msimu wenu Sasa..
Sema ninyi mulifurahi sana sisi kutolewa maana mziki tungeleta endapo tungepita basi ingalikuwa ni balaaa..
Assume Chelsea,Man City,. Liverpool ndani ya uefa dooh
#CFC![]()







Hatupo vzuriiiiii ki hivyo tuna mapungufu mengi tu lakini tunapambana kadri hali inavyoruhusu na kutumia vyema zile nafasi tunazopata kusaka ushindi.Kwa Sasa liverpool ni timu Bora sana muko kwenye peak na hii chance kwenu ya kufanya vizuri msimu huu ..hongereni kwa Hilo ..sisi Chelsea bwana alaah tunajipanga msimu ujao.
#CFC💙💙💙
Mie nalia tuu na mfumo wa high line na offside trap, watu wanamfikia sana AllisonHatupo vzuriiiiii ki hivyo tuna mapungufu mengi tu lakini tunapambana kadri hali inavyoruhusu na kutumia vyema zile nafasi tunazopata kusaka ushindi.
Mpaka sasa binafsi namuona Allison ndio kete yetu ya mafanikio msimu huu maana ametuokoa vya kutosha huyu jamaa. Akiwa fiti sina shaka na makombe yatakuja.
Haya kazi kwako Jumapili mzima Patrick maana jamaa kwa Big games yupo vzuriiiiii sana kocha wako kambania dogo Gallagher asicheze hio gemu na hio inaweza kuwabeba maana yule dogo mapafu ya paka hachoki hata hua sijui anacheza CM ama RM au LM au AM hua namuona yupo uwanjani kote..
Mipango ikikaa sawa tukutane fainali Wembley... Hahaha kama namuona Klopp akisugua kichwa bila KDB atakuja aje...
YNWA
Mpango wa Klopp ni kwamba we win the second balls muda wote yaaani pale tunanyang'anywa mpira basi fasta tu regain possession chap sasa unakuta muda mwingi hilo limeshidikana na kama mechi ya Benfica uliona pia Jota alipoteza mipira mingi bila kufanya recover hivyo hii high line inaumizwa na wachezaji wetu kutofuata maelekezo ya mwalimu vyema. Ukitaka kuona Klopp anavyotaka pale mbele wacheze mtazame Mane na Firmino pale wanapochukuliwa mpira yaaani chap wataanza kuusaka mpaka waupate especially Firmino hilo hua anafanya vyema sana.Mie nalia tuu na mfumo wa high line na offside trap, watu wanamfikia sana Allison