Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Akili yako haipo sawa ndio maana nimekuambia hujui maana ya current, CWC mashindano yake yamesha anza??

Hayajaanza ndio maana nakushangaa unasema chelsea kashachukua😅😅😅😅😅

Wewe umekula ugolo wa buza nini
 
Bro jipime akili kama mshindano mengine hayajaanza bingwa anahesabika nani?

Sio wa mwaka huu Sasa ,mashindano ya CWC yanaanza mwezi wa 9-10 mwaka huu baada ya CL na super cup Sasa huyo Chelsea kachukua lini na CL kashatolewa ....😅
 
Adjustments.jpg
 
Nyie piteni vichakanj kucheza game za Europa then mje final ya CL muone wanaume tutakavo wagonga na kuwachapa kipigo cha mbwa Koko
Tatizo unaongea kwa kuangalia mpira kwenye tv ushawahi kwenda hata Ethihad acha zako game yetu uliomba iishe kwa ile sare acha ushabiki wako ongea kimpira wewe
 
WAKUU SHALLOM WANA LIVERPOOL

Tujadili hili la Liverpool ilikiwa nyumbani kucheza kwa kusuasua hasa mashindano ya UCL kwenye hizi game mbili dhidi ya Inter na Benfica

Tuwe wakweli katika hili Benfica walikuwa washachomoa zote tatizo lao hawakujua offside na onsd wanaanzisha vzr mashambulizi wanapofika golini wanarudisha nyuma kidogo afu wanapanda tena tayari offside

1) Kingine binafsi ningependa apite Madrid tulipize japo upande mwingine siwataki maana wanacheza soka la tofauti na soka la England daah
2) Ningependa tukutane na City ili iwe game nzuri maana soka linajulikana kwa uchezaji na aina ya wachezaji wenyewe Madrid hawana soka bali wana matokeo hawajali wanachezaje wao ni ushindi tu


SASAHIVI UKIWA SHABIKI WA LIVERPOOL UNA UHAKIKA WA FURAHA NA AMANI NA UTULIVU ❤️ LIVERPOOL
 
WAKUU SHALLOM WANA LIVERPOOL

Tujadili hili la Liverpool ilikiwa nyumbani kucheza kwa kusuasua hasa mashindano ya UCL kwenye hizi game mbili dhidi ya Inter na Benfica

Tuwe wakweli katika hili Benfica walikuwa washachomoa zote tatizo lao hawakujua offside na onsd wanaanzisha vzr mashambulizi wanapofika golini wanarudisha nyuma kidogo afu wanapanda tena tayari offside

1) Kingine binafsi ningependa apite Madrid tulipize japo upande mwingine siwataki maana wanacheza soka la tofauti na soka la England daah
2) Ningependa tukutane na City ili iwe game nzuri maana soka linajulikana kwa uchezaji na aina ya wachezaji wenyewe Madrid hawana soka bali wana matokeo hawajali wanachezaje wao ni ushindi tu


SASAHIVI UKIWA SHABIKI WA LIVERPOOL UNA UHAKIKA WA FURAHA NA AMANI NA UTULIVU ❤️ LIVERPOOL
 
Kwa Sasa liverpool ni timu Bora sana muko kwenye peak na hii chance kwenu ya kufanya vizuri msimu huu ..hongereni kwa Hilo ..sisi Chelsea bwana alaah tunajipanga msimu ujao.
#CFC💙💙💙
Nikikumbuka comments zako wakati msimu unaanza, kuweka akiba ya maneno ni jambo bora sana ingawa kwenye ushabiki hutakiwi kuweka akiba ili nafsi itulie
 
Nikikumbuka comments zako wakati msimu unaanza, kuweka akiba ya maneno ni jambo bora sana ingawa kwenye ushabiki hutakiwi kuweka akiba ili nafsi itulie
Akiweka akiba hiyo sio ushabiki.
 
Mkuu Hawa hawana ubora wowote ,wanapita kichakani kufika final ya CL angalia wapopita et benefica , Villarreal,Sasa hii si sawa na Europa tu

Hata ukimuuliza taila ....

Man city Vs real Madrid


Liverpool Vs villareal

Ni ipi CL au Europa league ,lazima atakujibu kiusahihi kabisa ...


Hawa jamaa wanapita kichakani wakati sisi wanaume tunapita kibingwa kabisa
Sasa Hawa Liver watakubali mubebe makombe yote mawili? EPL na UEFA 😀😀😀
 
Nikikumbuka comments zako wakati msimu unaanza, kuweka akiba ya maneno ni jambo bora sana ingawa kwenye ushabiki hutakiwi kuweka akiba ili nafsi itulie
Kuwekaa akiba ya maneno ni ngumu kwa sababu ya ushabiki ..Kila mwenye timu yake anatamani ishinde makombe mengi ndio maana ninyi liverpool munatamani hiyo itokee..
Maana uefa, EPL na FA pote Muna nafasi ..ila wazee wetu walisema mshika mawili moja huponyoka😀😀
#CFC💙💙💙
 
Inabidi sasa uungane kutushabikia hakuna namna
Kuishabikia liverpool ni usaliti mkubwa sana nitakuwa nimefanya. Huu msimu muko faya aise musipobeba hata angalau uefa au EPL duh nitawashangaa sana ..ila msimu ujao kwa watu kama Salah, Mane, Firmino Kuna wezekano wakapwaya na kiwango kushuka. Hivyo huu ndio msimu wenu Sasa..😀😀😀

Sema ninyi mulifurahi sana sisi kutolewa maana mziki tungeleta endapo tungepita basi ingalikuwa ni balaaa..🤣🤣🤣
Assume Chelsea,Man City,. Liverpool ndani ya uefa dooh 😭😭😭
#CFC💙💙💙
 
Hi Kops
Hizi habari za Mo kupewa 400,000 ni kweli na deal done au uzushi?
Naona kwenye media na wachambuzi majuu wanaadika hivyo wengine wakisema yupo karibu ku saini sasa.

Wachambuzi wanadai hii itamsha wachezaji wengine kama Mane atasema nipeni 350k kwa wiki nisaini hata VVD, Allison nk wanaweza kurudi kwenye meza ya majadiliano upya. Maana VVD anapata 220k kwa wiki mpaka 2025 sasa atakumbali kubakia alipo na huo mshahara mpaka 2025.

Muda utasema kama ni kweli anasaini kwa 400k ama la.

Akisaini ni powa.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom