Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuliko niwe shabiki wa liverpulu Bora nikanywe zangu wanzuki nilale TU..

Hii utopolo isiyo na mbele Wala nyuma kwanza ingetokea mumepata sunctions kama zetu sisi vidume aise wachezaji wenu wangashagoma.
Umeona sasa ulivyovurugwa?[emoji1787]
Wachezaji wetu hawa wanaocheza Kwa moyo wote na kulipwa kiduchu ,unadhani wanaweza kukimbia kisa changamoto???


Liver baba lao wewe[emoji2][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
 
Angalia kesho tunamfanya Nini Madirid..sisi fainal ni uhakika tunasubiri takataka kama liverkuku au takataka yeyote tuichabange...
Sisi ndio Chelsea bwana alaah [emoji3][emoji3][emoji3][emoji170][emoji170]
Mechi saa ngapi??
Nitakusimanga sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Adjustments.jpg
 
Huko man utd kunachekesha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Washaanza kutuogopa kabla hata ya mechi
Screenshot_20220412-111639.jpg
Screenshot_20220412-111703.jpg
 
Dakika 90 hizo kwioo! Hatuna uwezo wa kucheza na nyie, labda tuende kujifurahisha tu mkuu pale kwenye dimba lenu la mauaji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mkuu umekuja kunichekesha na huku??
Safari hii tunaweza wanyuka hata 10
 
Dakika 90 hizo kwioo! Hatuna uwezo wa kucheza na nyie, labda tuende kujifurahisha tu mkuu pale kwenye dimba lenu la mauaji.
😂😂😂😂😂Mkuu hakuna gemu dhidi ya Manchester United nyepesi kwetu.

Tena pale mnajua tunalitaka la 20 mbona mtakomaa sana uwanjani ndugu.

Gemu zetu na Manchester United na Everton hazijawai kua nyepesi.

Tutapambana kushinda hakuna namna.

YNWA
 
Wamesurrender mapema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutajipigia tunavyotaka.

Ila ingekuwa inawezekana kweli wangekubali tu kutokucheza ili walinde heshima.
Ubovu wa man UTD siyo guarantee ya Liverpool kuwin mechii mkuu.

Ni Sawa na ubovu wa Everton ulivyo mshangaza Man UTD.

Ndo maana Captain kasema tusubiri dk 90 japokuwa Liverpool ana % kubwa ya kuwin mechii kitakwimu.


EPL sote tunaijua, Ina matokeo yakushangazaa.
 
Ubovu wa man UTD siyo guarantee ya Liverpool kuwin mechii mkuu.

Ni Sawa na ubovu wa Everton ulivyo mshangaza Man UTD.

Ndo maana Captain kasema tusubiri dk 90 japokuwa Liverpool ana % kubwa ya kuwin mechii kitakwimu.


EPL sote tunaijua, Ina matokeo yakushangazaa.
Hii haina mjadala mkuu
Tushashinda tayari.

Mechi na man utd ya sasahivi siyo hata ya kuumiza kichwa kujadili[emoji1787]
 
Mno yaani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii mechi mapema sana ntakuwa naisubiri niicheck mwanzo mwisho.
Hahaha hii huna baridi kama ya Jumapili kumbe 😂... Naona upo motooo balaaa

Hii gemu ya Man U inachezwa Jumanne hii saa nne usiku maana ni kiporo. Tunawakaribisha machijioni Anfield

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom