Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Hata nyie mna match na wolves

Mimi naona kabisa hii game haiwezi kuamua nani bingwa .....


Hii game inaisha draw kwanza
Tuna gemu ngumu sana pazuri ni kwamba wengi walitegemea tusiwepo tulipo yaaani wanaobeti majuu wakati ligi inaanza kuanzia nani bingwa mpaka nafasi ya 4 mbona wameliwa mazima maana wengi wali beti Manchester City bingwa, Chelsea wa pili, Manchester United wa 3 na Liverpool akipambana sana kuingia nafasi ya nne.

Lakini Klopp kama Klopp akawa anawachora tu akijua fika vijana alionao wataleta ushindani wa kutosha na kweli imekua sapraizi kwa wengi nafasi hii ya pili tulipo imewavuruga mpaka ma pundits wapinzani wanaishia kutoa pongezi za kweli kwa Klopp wakiongozwa na Gary Neville nk.

Msimu uliopita tulipata majeruhi ya kutosha tukapoteana sana mpaka kumaliza big 4 tulihitaji msaada wa Alison afunge goli la msimu 😂😂😂sasa naona ma pundits wengi walitegemea eti akina Mane, Salah, Firmino hawawezi tena kupambana kupata ubingwa eti wametumika sana pale Liverpool hivyo ni muda sahihi kuwapisha Manchester United na Chelsea wafukuzane na Kipara kwenye ubingwa wa EPL.

Kutoka kutabiliwa kumaliza ligi nafasi ya 4 au 5 mpaka kumkimbiza Kipara mpaka anakonda tunastahili kujipa cheers jamani sio jambo rahisi kumkimbiza Kipara mwenye backing ya Mansour oil money aisee. Klopp anachokifanya pale ni dhahiri ni cha kupongezwa. Kututoa alipotutoa na kushinda EPL baada ya miaka 30 kwa wachezaji wa ku unga unga wakati mashindani wetu ana pointi ma talent kwa bei yoyote hakika Shikamoo Babu Klopp.

Cheers to all Liverpool fans ambao ni BELIEVERS OF LIVERPOOL COURSE.

Tuna gemu ngumu nyingi tu kwa mfano tuma gemu na Tottenham, tuna gemu na Manchester United, tuna gemu na Everton, tuna gemu na Wolverhampton nk zote hizi hakuna rahisi lakini tunaamini vijana wetu watapambana kadri wawezavyo kutoka kifua mbele na pointi 3 muhimu.

Ki ufupi niseme kila mmoja ashinde mechi zake mahesabu sahihi ni Mei 22 baada ya mechi.

MALAIKA WA USHINDI LEO TULETEE POINTI 3 UGENINI NA TUSHINDE GEMU HII NGUMU.

YNWA
 
Mimi siangalii
Presha itanitesa
😂😂😂😂Ebu kaangalie burudani bhana kuna mechi nyingi tu baada ya leo kuna gemu 7 hivyo sio kwamba leo ndio gemu ya mwisho bhana kwenye kusaka ubingwa. Usishangae na huyu kipara akapigwa na Leeds ama Sare yaaani hii EPL hua ina matokeo ya ajabu sana.

Ukiwa shabiki unategemea kushinda tu ila mpira una matokeo matatu kuna Sare, kuna kufunga na kuna kufungwo.

Usihofu sana ni mchezo na burudani aisee.

Kaangalie mechi.

YNWA
 
Ebu kaangalie burudani bhana kuna mechi nyingi tu baada ya leo kuna gemu 7 hivyo sio kwamba leo ndio gemu ya mwisho bhana kwenye kusaka ubingwa. Usishangae na huyu kipara akapigwa na Leeds ama Sare yaaani hii EPL hua ina matokeo ya ajabu sana.

Ukiwa shabiki unategemea kushinda tu ila mpira una matokeo matatu kuna Sare, kuna kufunga na kuna kufungwo.

Usihofu sana ni mchezo na burudani aisee.

Kaangalie mechi.

YNWA
Itaniumiza mno kama tutadraw ama tukipigwa.
Salama yetu leo ni kushinda.
 
Tuna gemu ngumu sana pazuri ni kwamba wengi walitegemea tusiwepo tulipo yaaani wanaobeti majuu wakati ligi inaanza kuanzia nani bingwa mpaka nafasi ya 4 mbona wameliwa mazima maana wengi wali beti Manchester City bingwa, Chelsea wa pili, Manchester United wa 3 na Liverpool akipambana sana kuingia nafasi ya nne.

Lakini Klopp kama Klopp akawa anawachora tu akijua fika vijana alionao wataleta ushindani wa kutosha na kweli imekua sapraizi kwa wengi nafasi hii ya pili tulipo imewavuruga mpaka ma pundits wapinzani wanaishia kutoa pongezi za kweli kwa Klopp wakiongozwa na Gary Neville nk.

Msimu uliopita tulipata majeruhi ya kutosha tukapoteana sana mpaka kumaliza big 4 tulihitaji msaada wa Alison afunge goli la msimu sasa naona ma pundits wengi walitegemea eti akina Mane, Salah, Firmino hawawezi tena kupambana kupata ubingwa eti wametumika sana pale Liverpool hivyo ni muda sahihi kuwapisha Manchester United na Chelsea wafukuzane na Kipara kwenye ubingwa wa EPL.

Kutoka kutabiliwa kumaliza ligi nafasi ya 4 au 5 mpaka kumkimbiza Kipara mpaka anakonda tunastahili kujipa cheers jamani sio jambo rahisi kumkimbiza Kipara mwenye backing ya Mansour oil money aisee. Klopp anachokifanya pale ni dhahiri ni cha kupongezwa. Kututoa alipotutoa na kushinda EPL baada ya miaka 30 kwa wachezaji wa ku unga unga wakati mashindani wetu ana pointi ma talent kwa bei yoyote hakika Shikamoo Babu Klopp.

Cheers to all Liverpool fans ambao ni BELIEVERS OF LIVERPOOL COURSE.

Tuna gemu ngumu nyingi tu kwa mfano tuma gemu na Tottenham, tuna gemu na Manchester United, tuna gemu na Everton, tuna gemu na Wolverhampton nk zote hizi hakuna rahisi lakini tunaamini vijana wetu watapambana kadri wawezavyo kutoka kifua mbele na pointi 3 muhimu.

Ki ufupi niseme kila mmoja ashinde mechi zake mahesabu sahihi ni Mei 22 baada ya mechi.

MALAIKA WA USHINDI LEO TULETEE POINTI 3 UGENINI NA TUSHINDE GEMU HII NGUMU.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom