Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Hii ligi jamani.
Son kabla ya leo alikua na magoli 14 sasa leo kapiga hat trick huyoo mpaka magoli 17 na Salah 20.
Kwa hali hii Salah ajiangalie kwa kweli vinginevyo hiki kiatu cha mfungaji bora wa ligi msimu huu atapishana nacho.
YNWA


