Tafuta Hela
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,544
- 2,999
Igweeeeeee
Apigwe tu kuwashusha molali ya Jpili wawe wamelegea balaaaaaa.Man city anakazi sana hawa ATM kwa kupaki basi ni hatari![]()
Bwana wee hawa bila Klopp kuja hivi mbona mtihani sana.Game ni kali. Benfica hawajapoa nao wanakuja kuja. Tuendelee kukaza.
Igweeeeeee
Leo sijui kala nini maana kaja kivingine kabisaaaaaa.Konate amezidi kuboreka ila anahitaji coaching kwenye kuchallenge adui kwani kuna very thin line between succes and foul.
Khaaaa umesema aisee.Konate amezidi kuboreka ila anahitaji coaching kwenye kuchallenge adui kwani kuna very thin line between succes and foul.
He is very humbleView attachment 2177137
Duuh hiki kitendo cha Mane kukataa asifanyiwe sherehe pale Anfield baada kwa sababu ya Salah kushindwa kufuzu Qatar ni cha kiungwana sana.
Kwa kweli Mane i salute you.
Humble boy hana makuu.
Kweli pale Anfield ni familia moja tu hakuna kingine.
YNWA
Mhmh mbona kama wameanza kuchola kati kuna sloppy passes za kutosha. Utulivu unahitajika.Nikitazama Dimba la Kati THIAGO-FABI-KEITA leo ukuni wa Mvua hatumwi mtoto.
Yule Captain anayekuwa bora akiwa hana mpira atusamehe leo awasubiri kina Newcastle United.