Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Muna timu mbovu sana hamuna tofauti na arse8.
Wewe mwenye timu nzuri unashuka nafasi ya ngapi kwenye ligi?
Muna timu mbovu sana hamuna tofauti na arse8.
Andika kiswahiliMuna timu mbovu sana hamuna tofauti na arse8.
Must be the scariest forward line on earth
Ndio hivyoooooooo.Kweli wapo wanaangalia biashara,
Kweli if you fail to plan then you plan to fail.
Unalipa Diaz wanne na bado huyo Cr wao 7 anacheza tu sindimba uwanjaniNdio hivyoooooooo.
Walipaniki kusikia Pep anamtaka Ronaldo wakisema hapana buyu babu kwanza kibiashara anauzika na pia ni comrade wetu arejee hapa. Kumbe Pep aliwachezea tu akili wakaingia mazimaaa.
Mshahara wa Ronaldo unalipa karibia Diaz wanne Hahaha.
YNWA
Umekuja🤣🤣Muna timu mbovu sana hamuna tofauti na arse8.
Ili kuwamotivate zaidi Inabidi wakabidhiwe ndoo yao at a full Anfield crowdView attachment 2175867
Wamerejea Ligi Kuu kwa kushindo mara pap na Wanaume nao wanapambana kinoma kuichukua EPL itakua jambo njema sanaaa.
YNWA
Leo tuko pamoja na Benfica, hawatotuangusha.Umekuja🤣🤣
Umezinduka
Sisi kwa Sasa tunatetea ubingwa wetu wa UEFA, hatuna mida na epl tena. Ninyi munapaswa kuchagua kati ya epl ama uefaWewe mwenye timu nzuri unashuka nafasi ya ngapi kwenye ligi?
😂😂😂🙌🙌🙌🙌 Itakua jambo njema sanaaaa Anfield full booked na kombe hilooo linatua hahaha...Ili kuwamotivate zaidi Inabidi wakabidhiwe ndoo yao at a full Anfield crowd
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Zilipendwa yule anawafaa lakini sio akiwa main guy kama alivyo sasa pale kwanza fitness yenyewe tia maji.Unalipa Diaz wanne na bado huyo Cr wao 7 anacheza tu sindimba uwanjani
Takataka lako limezidiwa umelihama sasaLeo tuko pamoja na Benfica, hawatotuangusha.
Tunatafuta draw hapo bandani kwenu anfield, nyumbani kwetu tunawatandika kimoja Cha fastaaaa ..haooo semi final
Come on Benfica
#BenficaNguvuMoja![]()

Sisi tuna MunguAnthony Taylor from Manchester to referee Manchester City vs Liverpool with Paul Tierney on VAR
FA wameanza figisu,huyu refa na yule kwenye VAR ni Man City residents