Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220405_141344_com.android.chrome_edit_498044659779210.jpg


Ina maana FSG wana spin maneno ama namna gani tena.

YNWA
 
Screenshot_20220405_142939_com.android.chrome_edit_497947827418808.jpg



Jamani Diaz kajaribu kumwambia Kocha Wake mbinu kadhaa kuwavaa Benfica lakini tatizo lughaaaa hawaelewani dakika 10 nzima Klopp anasikia kama anaongeleshwa lugha ya mwezini.

YNWA
 
Hawa atletico tusipowamaliza Leo basi watatupa kazi nyingine kule kwao Madrid......!
Kipara miyeyusho balaa kwamba hua anafanya majaribio mechi za mtoano like serious yaaani huyu jamaa.

Asipowapa UCl msimu huu ujue ndio bye bye maana hao akina Sterling, Debruyne, Bernardo nk kubaki kweny ubora wao itakua kazi ya ziada...

El Cholo anasema kwa sasa uhakika wa kombe kwake ni UCL hivyo mtegemee atawapa changamoto balaa.

YNWA
 
Screenshot_20220405_162303_com.android.chrome_edit_497919386961520.jpg


Haya mambo niaje niaje tena.

Kwa sasa tupambane kwanza na Benfica haya yatasubiri ama wakala wamelizane wenyewe bila kumtoa kwenye reli.

Nadhani leo ni mechi ya 9 hajafumania nyavu hivyo angalau akitupia leo itakua kiki balaa.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom