Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Ina maana FSG wana spin maneno ama namna gani tena.
YNWA
Thiago angesaidia au Klopp alikuwa a nazingua?View attachment 2176792
Jamani Diaz kajaribu kumwambia Kocha Wake mbinu kadhaa kuwavaa Benfica lakini tatizo lughaaaa hawaelewani dakika 10 nzima Klopp anasikia kama anaongeleshwa lugha ya mwezini.
YNWA
Kipara miyeyusho balaa kwamba hua anafanya majaribio mechi za mtoano like serious yaaani huyu jamaa.Hawa atletico tusipowamaliza Leo basi watatupa kazi nyingine kule kwao Madrid......!
Kuna Thiago, Milner, Pep Lijnders wote hawa wanamwelewa vyema dogo...Thiago angesaidia au Klopp alikuwa a nazingua?
Dstv channel 222 ipo live bila chenga.Naona konate kafumania nyavu, hii mechi nimeitafuta niiangalie lakini wapi, DSTV nao wameniwekea ya MC vs ATM tu.
Sina ubavu wa kulipia hicho kifurushiDstv channel 222 ipo live bila chenga.
YNWA



La pili tayari... Mane kama kawaida hua robo fainali hakosi goli lake.Sina ubavu wa kulipia hicho kifurushi![]()