Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,823
- 233,255
Huyu Klopp kama mashine aiseeHahaha yupo moto kafunga goli la 20 msimu huu na ndio mara ya kwanza kufunga goli 20 tangu aanze kucheza professional football.
Chini ya Klopp hakika sky is the limit kwa hawa ma dogo yaaani washindwe wao tu maana kila mbinu wanapata namna ya kujiposition nk
YNWA
Sijui anawatrain vipi hawa vijana wanakuwa wapambanaji mno.


