Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nimeipenda Liverpool kwasababu ya kuwa na wachezaji wakawaida sana sio world class lakini kulingana na ufundishaji wa Klopp wanatupa makombe, vijana ni wapambanaji, angalia signing ya Luis Diaz ni kijana asie na jina lakini ni mpambanaji. Sasa hawa kina sijui Mbappe mara Haaland wabaki huko huko.
Salah hakua na siku njema kazini Jumamosi lakini alivyotolewa Anfield nzima ililipuka kwa shangwe Mo Salah the King yaaani dogo anapendwa sana na huyu kwetu anatoshaaaaaaaa.

Kwa namna uwajavyo FSG kweli wawe na package ya Mbappe ama Haaland mhmhmh sidhani labda Nike wawe na jambo la kusema kibiashara kama kweli hua wana buo ushawishi wa manunuzi.

Tunachohitaji ni kikosi cha ushindani sio kumtegemea mchezaji mmoja mmoja hio ngumu kwetu.

Nianavyo twende na usajili huu huu wa kimkakati kama Jota, Konate, Diaz nk hawa ni wapambanaji hawama maneno mengi.

YNWA
 
Macho yake yanaogopesha
Afu hata hacheki hovyo.


Btw nimeona Bobby pia anaupiga mwingi sana.
Bobby is back yaaani Jmosi ndio mfano sahihi wa false 9 alicheza vyema sana ukizingatia Fabinho hakuanza hivyo Bobby ali drop sana kusaidia midfield kivuruga mipango ya upinzani.

Best False 9 Duniani = Bobby Firmino

YNWA
 
Bobby is back yaaani Jmosi ndio mfano sahihi wa false 9 alicheza vyema sana ukizingatia Fabinho hakuanza hivyo Bobby ali drop sana kusaidia midfield kivuruga mipango ya upinzani.

Best False 9 Duniani = Bobby Firmino

YNWA
Hiyo Game bobby ni lazima aanze maana kama hendo ataanza basi mildifield itahitaji nguvu ya ziada kutoka juu, kushoto ntapendelea aanze Diaz na sio Mane kulia aanze Salah kama ilivyo. Mane hana utulivu hizi siku za karibuni katikati ntapendelea FAB3 THIAGO KEITA/HENDO ila Keita hapo ni first priority kwangu mimi.
 
Bobby is back yaaani Jmosi ndio mfano sahihi wa false 9 alicheza vyema sana ukizingatia Fabinho hakuanza hivyo Bobby ali drop sana kusaidia midfield kivuruga mipango ya upinzani.

Best False 9 Duniani = Bobby Firmino

YNWA
Anaupiga mwingi

Nimeona Fabinho alicheza Kwa kurelax Sana..ameingia dakika za mwisho na akatoka na Bahati ya penalt.
 
Hiyo Game bobby ni lazima aanze maana kama hendo ataanza basi mildifield itahitaji nguvu ya ziada kutoka juu, kushoto ntapendelea aanze Diaz na sio Mane kulia aanze Salah kama ilivyo. Mane hana utulivu hizi siku za karibuni katikati ntapendelea FAB3 THIAGO KEITA/HENDO ila Keita hapo ni first priority kwangu mimi.
Keita kwani kashapona asilimia 100, kwa hizi gemu mbili yaaani Benfica na Citizens tunahitaji wachezaji walio kamili.

Akiwa mzima apate dakika kadhaa itamsaidia sana na pia hizi timu za Ureno tunahitaji ballers kupunguza makali ya kasi na ku recycle movement pale kati kazi hio Thiago na Keita ndio wenyewe.

Hawa Benfica wanakomaa kwa vile walituchapa 2005/06 UCL goli 3 basi wanaona wanaweza tena kushangaza dunia maana kipindi kile walituchapa tukiwa bingwa mtetezi ilikua proper headlines noma sana.

Kwa sasa wajiadae kwani UCL msimu huu ushindi ugenini na nyumbani kwetu kama kawa. Tutapambana.

YNWA
 
Screenshot_20220404_121509_org.telegram.messenger_edit_458900005808620.jpg


Lisbon knock knock...

Diaz ana jambo lake Estadio Da Luz

YNWA
 
Keita kwani kashapona asilimia 100, kwa hizi gemu mbili yaaani Benfica na Citizens tunahitaji wachezaji walio kamili.

Akiwa mzima apate dakika kadhaa itamsaidia sana na pia hizi timu za Ureno tunahitaji ballers kupunguza makali ya kasi na ku recycle movement pale kati kazi hio Thiago na Keita ndio wenyewe.

Hawa Benfica wanakomaa kwa vile walituchapa 2005/06 UCL goli 3 basi wanaona wanaweza tena kushangaza dunia maana kipindi kile walituchapa tukiwa bingwa mtetezi ilikua proper headlines noma sana.

Kwa sasa wajiadae kwani UCL msimu huu ushindi ugenini na nyumbani kwetu kama kawa. Tutapambana.

YNWA
Hatutakiwi kuwa underrate Benfica hata kidogo , game ya mwaka juzi vs ATM tulimuunderrate kiasi akaja kutumaliza kwenye extra, Benfica still wazuri tena sana hivyo Klopp asijetest kikosi ni kuwapa Liverpool ya ubingwa.
Thiago anatakiwa awe fiti ikiwezekana timu ya Afya isimzingatie sana kwa sasa kwa viinjury vidogo. Thiago na Fab hii mids ni bora ukutane na Monster.
 
Hatutakiwi kuwa underrate Benfica hata kidogo , game ya mwaka juzi vs ATM tulimuunderrate kiasi akaja kutumaliza kwenye extra, Benfica still wazuri tena sana hivyo Klopp asijetest kikosi ni kuwapa Liverpool ya ubingwa.
Thiago anatakiwa awe fiti ikiwezekana timu ya Afya isimzingatie sana kwa sasa kwa viinjury vidogo. Thiago na Fab hii mids ni bora ukutane na Monster.
Klopp hajawa ku underrate opponent akiwa na kikosi kizima basi ujue atapanga mziki mnene.

Mwenyewe kashasema hachukulii gemu jumla jumla mbali anachukulia gemu moja baada ya nyingine hii inampa wakati sahihi mazoezini kufanya maadalizi kulingana na uwezo na nguvu ya opponent tunaekutana nae, niseme mbinu hii kwanza imefanikiwa kutoweka wachezaji kwenye presha zisizokua na maana kabisa wakiwa watulivu wakijua fika next gemu ni Benfica tu ndicho wanachowaza hakuna kingine...

Benfica sio wa kuwapuuza hata kidogo hawa wamewatoa Barcelona na Ajax hivyo Klopp na vijana watafanya mistake kubwa sana kudhani ni straight pass kwenda nusu fainali hapana sio rahisi watapambana.

Nina imani itakua full cracker.

Pale pia kuna wachezaji kadhaa wa Benfica wanahitaji kujitafutia soko hivyo hii nafasi ya kukutana na Liverpool kwao ni bahati kubwa sana kuonyesha uwezo maana hii gemu itaangaliwe na wengi sana. Sie wenyewe pale tunamfuatilia Nunez hivyo ni nafasi kwake amuonyeshe Klopp akitua Anfield anatua na package ipi.

Game on.

YNWA
 
Yaani kimya anawapa watu kipigo



Hivi ile penalt ya Fabinho ilisababishwa na Nini mkuu??
Niliangalia ila sikuelewa.
Screenshot_20220404_173333_com.android.chrome_edit_470391214755304.jpg


Gemu iligeuka mieleka aisee Jota kapigwa KO...refa hakuona ilikua VAR ndio waliona wakamshauri Refa akatazame kwenye ki TV na hakua na kingine zaidi ya kutoa tuta na Fabinho being Cool Guy did whats he does best

YNWA
 
Hivi ndo mpira ulivyo sasa wanataka afunge sijui itakuaje kama straika wote wacheze staili moja?

Boby ndo mchezaji muhimu zaidi pale mbele.
Ila dogo kwa kweli hua ikiwa kwenye kiwango ni mapafu ya chui yaaani mbele yumo kati yumo popote anausaka mpira hakika ile false 9 ana hatimiliki nayo.

Alifanya ball recovery za kutosha
Alivuruga mipango sana ya Roy.

Ukitoa kwamba hafungi kivile siku hizi lakini off the ball he works really hard

YNWA
 
View attachment 2175544

Gemu iligeuka mieleka aisee Jota kapigwa KO...refa hakuona ilikua VAR ndio waliona wakamshauri Refa akatazame kwenye ki TV na hakua na kingine zaidi ya kutoa tuta na Fabinho being Cool Guy did whats he does best

YNWA
Kumbe kajota ketu kalipigwa
Walirudisha ila sikuelewa..sasa sijui sikuangalia huo upande masikini mimi

Nikaona tu refa anatoka,anaenda kwenye kitv..mara anarudi kutoa penalt.

Sasa nimeelewa.
 
Kumbe kajota ketu kalipigwa
Walirudisha ila sikuelewa..sasa sijui sikuangalia huo upande masikini mimi

Nikaona tu refa anatoka,anaenda kwenye kitv..mara anarudi kutoa penalt.

Sasa nimeelewa.
😂😂😂😂😂😂Bhana acha kabisa jamaa hakuangalia mpira aliwaza Jota atafunga lingine la kichwa akaamua alala nae mbele design kama Steve Austin aka Stone Cold 😂😂😂😂


YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom