Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Wachezaji wako washaanza maneno eti wamekamilika kila idara kuliko Liverpool hahaha sasa mbona wameruhusu gepu iwe ya pointi 1 tu.

Yaaani watulie kwanza wapambane na El Cholo kwanza maneno mengi hatutaki sisi kama wamekamilika ni sawa tu hatuna ubishi.

Kwa sasa tunawaza niaje pale Lisbon tutatoka aje na ushindi ugenini UCL. Tukishamalizana na hawa jamaa wabishi basi ndio tutaanza maadalizi mechi ya Ethad Jumapili ijayo.

YNWA
Lazima waongee kishujaa mzee ni moja ya njia ya kuwa na confidence uwanjan ....wakiwa wanyonge saizi psychological uwanjan watakosa roho ya kupambana ....lazima wajivike roho ya simba
 
Dah coacher wa watford alitia huruma baada ya penati kupigwa


Ila Thiango mfupi aisee


Wataalamu nielekezeni hapa penati imetokeaje tokeaje?
Sijaelewa chochote.
Mfupi ila ufundi mwingi, ukikuta mtu mfupi anapiga soka ujue analipiga kweli mfano bwana Messi, torreira, Thiago, Salah hao ni baadh tu wa miaka hii bila kusahau Marehem maradona
 
Aisee itakua na Mbappe au Erling Haaland anatua Liverpool maana ukiachana na Mo kutaka pound for pound contract tetesi ni kwamba alitaka uhakika wa wachezaji wapya kusajiliwa ili kujenga timu ya ushindi. Tetesi ni kwamba sio tu alipwe vizuri lakini pia awe anacheza na wachezaji wenye kiu ya kupambana na kushinda makombe.

Habari kwamba anasaini ni safi kabisa ni ujumbe mwingine wale ma pundits waliosema Liverpool ni timu ya kuuza imekula kwao sasa watulie hukoo kusubiria bosman players.

YNWA
Nimeipenda Liverpool kwasababu ya kuwa na wachezaji wakawaida sana sio world class lakini kulingana na ufundishaji wa Klopp wanatupa makombe, vijana ni wapambanaji, angalia signing ya Luis Diaz ni kijana asie na jina lakini ni mpambanaji. Sasa hawa kina sijui Mbappe mara Haaland wabaki huko huko.
 
Mfupi ila ufundi mwingi, ukikuta mtu mfupi anapiga soka ujue analipiga kweli mfano bwana Messi, torreira, Thiago, Salah hao ni baadh tu wa miaka hii bila kusahau Marehem maradona
Wanajitahidi Kwa kweli


Na wewe mkuu ni mfupi nini?
 
Lazima waongee kishujaa mzee ni moja ya njia ya kuwa na confidence uwanjan ....wakiwa wanyonge saizi psychological uwanjan watakosa roho ya kupambana ....lazima wajivike roho ya simba
😂😂😂😂😂 Kwa kweli.

Kazi ipo.

Sie hatuna sana maneno zaidi ya vitendo kwa sasa.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom