Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

SALAH IS GETTING A NEW DEAL.

TUMESHINDA.

Kuna yule jamaa uliyekuwa unajadiliana naye alikuwa anakuja na cheap propaganda kuhusu Salah sijui anajisikiaje sasahivi.

Kitu pekee nilichobaini ni Kuwa hajui chochote kuhusu Liverpool na vipi inawatreat wachezaji zaidi ya kuwa ni Google reader kwani before 2016 (kabla ya Klopp) hakuwa hata akijua kama kuna siku atakuwa mshabiki wa Liverpool.
 
Kuna yule jamaa uliyekuwa unajadiliana naye alikuwa anakuja na cheap propaganda kuhusu Salah sijui anajisikiaje sasahivi.

Kitu pekee nilichobaini ni Kuwa hajui chochote kuhusu Liverpool na vipi inawatreat wachezaji zaidi ya kuwa ni Google reader kwani before 2016 (kabla ya Klopp) hakuwa hata akijua kama kuna siku atakuwa mshabiki wa Liverpool.

We need Klopp to stay first, then Salah!
Sikua na wasi wasi na Salah ila nina wasi wasi sana siku akiondoka Klopp.
Huyu Klopp anajua kufundisha mpira
 
Unataka kujua sisi ni nouma kiasi Gani? Leo tumepoteza kwa sababu hiyo Sasa ..kipigo kizito kitashushwa hiyo jumatano hao Madirid na nyie matakataka mamluki mujiandae maana sisi hatuna Cha kupoteza hasa kwenye game za mtoano.

Unajua Nini kitatokea? Kaa kwa kutulia, tunza hii comment.

#CFCforever
Hamna cha kupoteza wakati mmepoteza
 
We need Klopp to stay first, then Salah!
Sikua na wasi wasi na Salah ila nina wasi wasi sana siku akiondoka Klopp.
Huyu Klopp anajua kufundisha mpira
It is good kama Salah na mane watabaki

But klopp is our biggest signing and keeping him is the most important thing
 
Unataka kujua sisi ni nouma kiasi Gani? Leo tumepoteza kwa sababu hiyo Sasa ..kipigo kizito kitashushwa hiyo jumatano hao Madirid na nyie matakataka mamluki mujiandae maana sisi hatuna Cha kupoteza hasa kwenye game za mtoano.

Unajua Nini kitatokea? Kaa kwa kutulia, tunza hii comment.

#CFCforever💙💙💙
Kwikwikwikwiiiii

We jamaa ulikua domo tovovo sana

And now what?
 
SALAH IS GETTING A NEW DEAL.

TUMESHINDA.
Aisee itakua na Mbappe au Erling Haaland anatua Liverpool 😂😂😂😂😂maana ukiachana na Mo kutaka pound for pound contract tetesi ni kwamba alitaka uhakika wa wachezaji wapya kusajiliwa ili kujenga timu ya ushindi. Tetesi ni kwamba sio tu alipwe vizuri lakini pia awe anacheza na wachezaji wenye kiu ya kupambana na kushinda makombe.

Habari kwamba anasaini ni safi kabisa ni ujumbe mwingine wale ma pundits waliosema Liverpool ni timu ya kuuza imekula kwao sasa watulie hukoo kusubiria bosman players.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom