Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kabisa

15 finals

That’s it!!

Jamani msisahau kuwaweka rent boys kwenye sala na maombi yenu

Wanateseka sana

Jana nilikutana na kijana mmoja wa chelsea anaongea peke yake
Khaaa huyo jamaa yetu Chugga kapagawa maana jana darajani kapigwa aafu anawaota Los Blonco hivi hivi.

Nakumbuka tulivyotoa sare na Brentford maneno yaliwatoka mno haya sasa jana wamekaa tena nyumbani na bila ubora wa Mendy zingekua nyingi tu hahah EPL raha sana ina ma sapraizi muda wote na usivyotegemea.

YNWA
 
Aisee itakua na Mbappe au Erling Haaland anatua Liverpool maana ukiachana na Mo kutaka pound for pound contract tetesi ni kwamba alitaka uhakika wa wachezaji wapya kusajiliwa ili kujenga timu ya ushindi. Tetesi ni kwamba sio tu alipwe vizuri lakini pia awe anacheza na wachezaji wenye kiu ya kupambana na kushinda makombe.

Habari kwamba anasaini ni safi kabisa ni ujumbe mwingine wale ma pundits waliosema Liverpool ni timu ya kuuza imekula kwao sasa watulie hukoo kusubiria bosman players.

YNWA
Kuna jamaa humu sijui ana hali gani huko aliko
 
Khaaa huyo jamaa yetu Chugga kapagawa maana jana darajani kapigwa aafu anawaota Los Blonco hivi hivi.

Nakumbuka tulivyotoa sare na Brentford maneno yaliwatoka mno haya sasa jana wamekaa tena nyumbani na bila ubora wa Mendy zingekua nyingi tu hahah EPL raha sana ina ma sapraizi muda wote na usivyotegemea.

YNWA
Angekuwa Kepa hapo tungeongea mengine
Mechi ingekuwa ya netball kabisa kabisa.
 
Aisee itakua na Mbappe au Erling Haaland anatua Liverpool 😂😂😂😂😂maana ukiachana na Mo kutaka pound for pound contract tetesi ni kwamba alitaka uhakika wa wachezaji wapya kusajiliwa ili kujenga timu ya ushindi. Tetesi ni kwamba sio tu alipwe vizuri lakini pia awe anacheza na wachezaji wenye kiu ya kupambana na kushinda makombe.

Habari kwamba anasaini ni safi kabisa ni ujumbe mwingine wale ma pundits waliosema Liverpool ni timu ya kuuza imekula kwao sasa watulie hukoo kusubiria bosman players.

YNWA
I don’t see Mo being that arrogant

They won without mbappe nor Haaland
 
Khaaa huyo jamaa yetu Chugga kapagawa maana jana darajani kapigwa aafu anawaota Los Blonco hivi hivi.

Nakumbuka tulivyotoa sare na Brentford maneno yaliwatoka mno haya sasa jana wamekaa tena nyumbani na bila ubora wa Mendy zingekua nyingi tu hahah EPL raha sana ina ma sapraizi muda wote na usivyotegemea.

YNWA
Ndio maana nacheka sana leo

Alikua lopolopo sana baada ya game ya brentford

Nadhani atakua home wanamkanda Kwa maumivu
 
Kati ya Makocha Vijana walioibuka Lampard, Gerrard, Arteta, Terry na Rooney basi Arteta ndiye Kocha bora kuliko wote.
Nikitazama Financial support anayoipata Arsenal na nikitazama aina ya Wachezaji alionao halafu kumaliza Ligi ndani ya Top Four huku akitishia kabisa kuchukua nafasi ya Chelsea ya 3 basi ameonesha uwezo mkubwa sana.
Zikipita era za kina Pep na Klopp basi itafata era ya Arteta.
 
I don’t see Mo being that arrogant

They won without mbappe not Haaland
He ain't greedy he just humble and a winner.. Whats he want is a squad built for serial winning not one time thing.. On that issue I stand with Salah. They are so many quality players out there forget about the next generation hyped players in Mbappe and Haaland.

At the end of the day Liverpool has won.

Salah has won.

Now lets concentrate with the task ahead. Winning games.

Come June Mane n Bobby nao commit thier future and we are sorted.

YNWA
 
Siku zote Class itabaki kuwa Class tu! Aliponunuliwa T. Alcantara wengi hawakuridhika na kusajiliwa kwake wakiamini hataisaidia Liverpool, wengine wakawa na Concern kuhusu injuries zake! But Klopp anamfanyia management nzuri sana ya kumpunguzia injuries na sasa hivi anachokifanya uwanjani kila Timu inatamani ingemnunua kabla ya kuja Liverpool.
 
Kati ya Makocha Vijana walioibuka Lampard, Gerrard, Arteta, Terry na Rooney basi Arteta ndiye Kocha bora kuliko wote.
Nikitazama Financial support anayoipata Arsenal na nikitazama aina ya Wachezaji alionao halafu kumaliza Ligi ndani ya Top Four huku akitishia kabisa kuchukua nafasi ya Chelsea ya 3 basi ameonesha uwezo mkubwa sana.
Zikipita era za kina Pep na Klopp basi itafata era ya Arteta.
Una mzungumziaje Julian au unazungumzia Epl tu
 
Siku zote Class itabaki kuwa Class tu! Aliponunuliwa T. Alcantara wengi hawakuridhika na kusajiliwa kwake wakiamini hataisaidia Liverpool, wengine wakawa na Concern kuhusu injuries zake! But Klopp anamfanyia management nzuri sana ya kumpunguzia injuries na sasa hivi anachokifanya uwanjani kila Timu inatamani ingemnunua kabla ya kuja Liverpool.
No one doubts Thiago, joe Gomez or naby talents… hata matip

It’s their ability to remain fit

Good to see Thiago kasogea sogea… tuombe Mungu asipate pancha
 
Siku zote Class itabaki kuwa Class tu! Aliponunuliwa T. Alcantara wengi hawakuridhika na kusajiliwa kwake wakiamini hataisaidia Liverpool, wengine wakawa na Concern kuhusu injuries zake! But Klopp anamfanyia management nzuri sana ya kumpunguzia injuries na sasa hivi anachokifanya uwanjani kila Timu inatamani ingemnunua kabla ya kuja Liverpool.
😂😂😂😂😂Kwa kweli nimo humo huu usajili wa Thiago binafsi niliukataa kabisaaaa ila duh japo pamoja na management anaumia mia nimekuja kujua jamaa hua ni risk taker yaaani anajitoa na kujituma sana kupiga tackling za hatari sana bija kujali mwili wake ni made of Indian Biscuits 😂😂...

Kwa hili nampa Klopp big up sana.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom