Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Khaaa huyo jamaa yetu Chugga kapagawa maana jana darajani kapigwa aafu anawaota Los Blonco hivi hivi.Kabisa
15 finals
That’s it!!
Jamani msisahau kuwaweka rent boys kwenye sala na maombi yenu
Wanateseka sana
Jana nilikutana na kijana mmoja wa chelsea anaongea peke yake
Nakumbuka tulivyotoa sare na Brentford maneno yaliwatoka mno haya sasa jana wamekaa tena nyumbani na bila ubora wa Mendy zingekua nyingi tu hahah EPL raha sana ina ma sapraizi muda wote na usivyotegemea.
YNWA





