Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Say the name againnnnnnnnnnn...
Jota,... Jota who.... Jota magoliiiii.
YNWA
kama umeangalia mpira utaona namna ambavyo jota alivyofanyiwa faulo ilipopigwa kona alishikwa na kuvutwa chini ile ni clear penalt maana yule beki hakuwa anaconsentrate kwny mpira ila attention yake yote ni kumshika jota asipige kichwa ile ni penalty ya waziWakuu hii penalty sijaielewa naombeni mnifafanulie hapo sio hilo goli tumepewa tu?
sisi tunashinda game zetu tu hatujali kuhusu mengine. mentality nikuchukulia kila game kama fainali mengine yatajipa yenyewe. hatukuwa kwny ubora wetu lkn umeona point tatu tumezichukua kibindoni. hivyo ndo ambavyo bingwa anashinda mechi za mpira was miguuHongereni japo kwa masaa machache mtarudi kwenye nafasi yenu.
Mkuu mpaka muda huu ubao ushabadilika mandishi .

Basi tutoe hiyo penalt tuseme ni 1 0 hapo vp?Penalty ya kupewa kabisa![]()
Pewa na weweMnapewa penalty za bure