Snoop Dogg
JF-Expert Member
- Jan 10, 2022
- 283
- 264
Huwa naonga Kama chaka la Barcelona la kununua wachezaji wazuri ni Liverpool na chaka la R Madrid ni Man U kwahiyo hili linanipa uhakika wa mashaka kuwa kipenzi chenu Wana Liverpool (Salah) Kama vile atabebwa na Barca.Waleteeeee elaaaaa hahahaha eti nimesoma mahala kwamba Liverpool ni selling club hivyo Barcelona wakifika bei kwa Salah tutauza tu hahaha yaaani hii kali kuliko khaa kwani kuna shinda gani kuuza na kuwekeza tena ela hio hio klabuni. Bila mauzo ya Coutinho kweli tungekua na hiki kikosi?
Vipi nyie hamtataki dogo Salah? Au mazima kwa Hallaad?
YNWA

