Mkuu nimeangalia game nying zetu na Liverpool lakin pep ukiachana na ile ya mane kula red tukawapiga 5 ,game nyingine tumeshindwa kuwatawala kama tunavowamiliki Chelsea wakiingia kwenye 18 zetu ,unakuta tunawapigia mpira mpaka unaona kabisa hata wakiongeza dakika nyingine 90 Chelsea hawezi pata goli ...
tukiwa tunacheza na Chelsea unaona kabisa pep akimuweka TT kwenye 18 huwa hachomoki Hadi 90min unaona kabisa Chelsea kamilikiwa kila kitu .....ila game na Liverpool huwa naangalia nimeshika mbupu aisee ,huwa natamani mpira uwahi kuisha mapema ,kwani Kuna namna flan liverpool mnatuwezea , midfielder zenu huwa zinakuwaga strong physically ,yaani huwa game inaikuwa haieleweki flani ....! Hii inatokea hasa kwenye must win game kama CL ....any way wacha tuone this time...