Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Atungulie kwanza OllaChuga Oc, aafu wafuate ryana fan, John dillinger, Hziyech22 nk tunawakaribisha mji wa majogoo yaaani huku hakuna stress za klabu kufutwa ama kutupwa Northern league hukooo daraja la 10.

YNWA
Hata chelseafc hatuna stress team yetu still inafanya vizuri kuhusu hayo makelele yanayoendelea nje ya nchi ni changamoto za kawaida sisi wengine ni wafia team hatuwezi kuhama abadani
 
Kwahyo ulianza kushabikia Liverpool Una miaka minne....hii Mbona kama chai kama wazee WA Kula kimasihara
Chai yake iko wapi mkuu??
Mbona nilishaelezea huko juu
Kuna mdau alisema watu wa umri huo ambao bado akili ni Changa huwa wanashabikia timu yoyote,Mimi nikasema kwamba nilishabikia timu moja,,pia kutokana na influence ya kaka zangu walikuwa wanashabikia hiyo timu.
 
Chai yake iko wapi mkuu??
Mbona nilishaelezea huko juu
Kuna mdau alisema watu wa umri huo ambao bado akili ni Changa huwa wanashabikia timu yoyote,Mimi nikasema kwamba nilishabikia timu moja,,pia kutokana na influence ya kaka zangu walikuwa wanashabikia hiyo timu.
Pole sana naona hii mada bado inakuandama. Huo umri no mdogo sana na pia lazima ulikuwa hujitambui kishabiki na ndio maana nikasema lazima ulikuwa ukishabikia timu yeyote inayokufurahisha kwa jezi au upepo tu wa kaka zako
 
Pole sana naona hii mada bado inakuandama. Huo umri no mdogo sana na pia lazima ulikuwa hujitambui kishabiki na ndio maana nikasema lazima ulikuwa ukishabikia yimu yeyote inayokufurahisha kwa jezi au upepo tu wa kaka zako
Yawezekana ilikuwa Kwa ajili ya zile jezi na influence ya kaka zangu ila ndio ilikuwa njia ya kuingia huko.
 
Hata chelseafc hatuna stress team yetu still inafanya vizuri kuhusu hayo makelele yanayoendelea nje ya nchi ni changamoto za kawaida sisi wengine ni wafia team hatuwezi kuhama abadani
Hakika ni upepo tu.

Tuliyapitia enzi ya Gillett n Hicks lakini mwishowe tulitoka salama.

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Hata chelseafc hatuna stress team yetu still inafanya vizuri kuhusu hayo makelele yanayoendelea nje ya nchi ni changamoto za kawaida sisi wengine ni wafia team hatuwezi kuhama abadani

Mabadiliko hayatokei siku 1 au Mwezi 1.

Inachukua zaidi ya Msimu mmoja.
Abramovic kaondoka ameacha Strong Team ndiyomana unafurahia mafanikio mafanikio mpaka sasa.
Sasa subiri hichi kikosi ulichonacho Wachezaji waanza kutaka Mikataba Mipya na wengine wachoke zianze buy and sell then njoo hapa ujisifie.

Hata Manure alipoondoka Ferguson hawakuamini kuwa itafika siku watagombania Top Four.
 
Badilisha tu ID uje Liverpool Rent Boys hawatokutambua.
Toka umezaliwa ni timu gani umeiishuhudia ina mafanikio makubwa kimpira kwa pale Uingereza?

Mimi ni Chelsea na hakuna nyingine.

Sasa natokaje timu kama hiyo na kuhamia huko Utopoloni Liverpool.
 
Over my dead body sitakaa nishabikie haya majogoo yenye utitiri.

Never.
Basi consider yourself dead

Maana you can’t stay away from our club

Eminem aliimba wimbo uanitwa Stan and some of his lyrics are just reflecting your obsession for LFC

Ynwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom