Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,682
Nakubaliana na wewe kooote ila Kwa pep… alikuja laterBy th way man upo sahihi not paying above whats the club generate makes FSG model so unique kiasi sasa wengine wanatamani ku operate like em. Mostly spotting raw talents, groom em, make em super stars and sell them for a profit while enjoying maximum success on the field.
Buy Surez for £22m sell for £75m +ads on
Buy Coutinho £8m sell for £126m
Buy Solanke £3m sell for £19m
Nk nk nk nk
Buy Robertson for £8m from relegated Hull City make him the best LB in the work.
Buy Gini from relegated Magpies make him the best LMF.
Nk nk.
FSG are lucky kua na the right guys to do all this work kuanzia profiling wachezaji, scout department, coaching department, data department na the main ASSET WA HII KLABU NI JURGEN KLOPP NA PEP LIJNDERS.
Kama wakiona Salah ni ngumu mshahara wake kulipika kwa hali ilivyo sasa kwa kweli nitasimama na FSG na no hard feelings kwa Salah kutaka alipwe zaidi ame delivers on top kwa misimu mitano na anastahili hicho anachotaka kama anaweza kupata kwingine all the best will miss him dearly his goals, assist, business merchandise anayoleta klabuni is way too big maana yeye peke anauza jezi asilimia ya jezi zote zilizouzwa kwenye duka na washirika wa Liverpool ina maana dogo ana perfom uwanjani na ana perform nje ya uwanja ooh what's a a boy.
Klopp ameeleza kwamba wao kama uongozi wametoa ofa hivyo ni Salah na agent wake waafiki ama la na so far ni kama hakuna kuafiki pengine sasa wanajaribu kutafuta soko kwingine. Kilichonistua kiasi ni kuona Salah anasema hana mpango wa kuodoka EPL angependa akihama Liverpool basi iwe hap hapa UK meaning aidha Arsenal, Manchester City, Tottenham, Chelsea wanaweza kumpa huo mshahara anaostahili basi ruhkusa anawaita wamtangazie ofa.
Kwa namna Klopp anavyokua ma macho ya wachezaji sina wasiwasi hata kiduchu uhakika wa kupata mchezaji mwingine upo. Ukitazama akina Fekir, Mbappe nk aliowa point Klopp viwango vyoa utaelewa maana kwamba Klopp is the system hivyo am at peace.
YNWA
Kulikua na mwamba pale tusisahau naye mchango wake
...muda n hakimu sahihi