Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mo alisema " I'm not asking for crazy staff" meaning hiyo 500k Sterling ni uongo wa waandishi wachonganishi,
ila pia kuna ofa imetolewa na club ameikataa.

Je! ni kiasi gani kimetoka? yeye anataka ngapi?
hii situation kwa sasa ndo inaleta baridi pale Merseyside

Kwa mtazamo wangu ofa aliyopewa ni kati ya 250k-300k Sterling, zaidi ya hapo aende salama!
Ingekua Mo ni Muingereza hii ela wangempa around 300k mpaka 350k kwa kuongeza mkataba miaka miwili na optional wa mwaka mmoja lakini kwa vile sio mtoto wa nchi ya Malkia hana namna labda kwa Mansour ama hao Magpies nk..

Watazame Sterlin, Grealish nk wanavyokula mpunga mrefu na hawana impacts ndani na nje ya uwanja.

Soon FSG wakishaona Salah hakuna uhakika wa ku saini mkataba mpya niamini watamkaanga kwa spin taarifa aonekane kabisa kwamba ni vampire anachojali ni mpunga na hawatasema alihitaji aongezewe kiasi gani mbali watakomaa dogo ni greedy hakuna kingine.

YNWA
 
Ingekua Mo ni Muingereza hii ela wangempa around 300k mpaka 350k kwa kuongeza mkataba miaka miwili na optional wa mwaka mmoja lakini kwa vile sio mtoto wa nchi ya Malkia hana namna labda kwa Mansour ama hao Magpies nk..

Watazame Sterlin, Grealish nk wanavyokula mpunga mrefu na hawana impacts ndani na nje ya uwanja.

Soon FSG wakishaona Salah hakuna uhakika wa ku saini mkataba mpya niamini watamkaanga kwa spin taarifa aonekane kabisa kwamba ni vampire anachojali ni mpunga na hawatasema alihitaji aongezewe kiasi gani mbali watakomaa dogo ni greedy hakuna kingine.

YNWA
Naked truth king of Egypt deserve more than 300K

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Naked truth king of Egypt deserve more than 300K

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
#On his numbers on the field he deserve

#On his impact business wise he deserve akiuza asilimia 42 ya mauzo ya jezi zote kwa msimu uliopita. Kwa nyongeza ni kwamba Nike wanawapa Liverpool £30m kwa msimu mkataba wa jezi na pia hawapa Liverpool asilimia 30 ya kila jezi inayouzwa. Anawaingizia FSG mamilioni ya ela yaaani mpunga wa maana.

#Hana makuu hana drama zozote kuichafua klabu

#haumii hovyo hovyo.

#Uhakika wa kupiga assist 10+ na goli 20+ kila msimu upo.

#Lakini je alipwe hio £500,00 kwa wiki atakua ndio mchezaji analipwa ghali Uingereza.

# KDB wana mpango wa kumpa 400k na Raheem around 390k.

Mishahara bora EPL ipo hivi.

1. Kevin De Bruyne (Man City) – £385,000 kwa wiki.

2. Cristiano Ronaldo (Man Utd) – £385,000 kwa wiki.

3. David De Gea (Man Utd) – £375,000 kwa wiki.

4. Jadon Sancho (Man Utd) – £350,000 kwa wiki.

5. Raphael Varane (Man Utd) – £340,000 kwa wiki.

6. . Jack Grealish (Man City) – £300,000 kwa wiki.

7. Raheem Sterling (Man City) – £300,000 kwa wiki.

8. N’Golo Kante (Chelsea) – £290,000 kwa wiki.

9. Paul Pogba (Man Utd) – £290,000 kwa wiki.

10. 10. Thomas Partey (Arsenal) – £250,000 kwa wiki.

Wachezaji wanaolipwa zaidi Liverpool kwa wiki.

1. VVD analipwa £220,000.
2. Thiago analipwa £200,000.
3. Salah analipwa £200,000
4. Fabinho analipwa £180,000
5. Trent analipwa £180,000
6 Bobby analipwa £180,000
7. Allison analipwa £150,000
8. Henderson analipwa £140,000

Wachezaji wanaolipwa kiduchu Liverpool aafu wanapiga kazi balaa.
1) Robertson analipwa £100,000 kwa wik
2) Mane analipwa £100,000 kwa wiki
3) Jota analipwa £90,385 kwa wiki
4) Matip analipwa£100,000 kwa wiki
5. Diaz analipwa 90,385 kwa wiki.

FSG hawana mpango wa kukopa ama kujikopa walipe mishahara kama Manchester United nk wanavyolipa. Wao ni mapato ya klabu ndio yalipe wachezaji, wafanya kazi nk. Mapato pia ndio yanatumika kununua wachezaji wapya kama akina Konate nk

FSG wao wanawekeza tu kwenye asset kama viwanja vya mazoezi, gym, kupanua uwanja nk.

Tutawaelewa.

Tetesi ni kwamba kwa mapato ya Liverpool wanaweza pia kumlipa Salah anachokitaka bila kuadhiri mapato ya klabu na maisha yakasonga.

Tetesi zaidi wanaona kumbe bora wasikurupuke endapo Mbappe hata saini nyongeza na hatatua Los Blonco basi bora aje Liverpool ana umri wanaotaka, ni serial winner ana mvuto wa biashara nk.

Kingine wanajua bila Salah kuja Liverpool asingefika alipo kwa mafanikio alionayo kama angebakia Roma hivyo wanaona wanaweza kumpata mchezaji mwingine asiekua staa na wakamjenga kama walivyofanya kwa wengine kwa sababu wanaamini chini ya Klopp hakuna kinachoshidikana.

Hii ngoma bado asubuhi.

YNWA
 
Hayo ni hukoo darajani.

Us we are living the dream challenging all fronts.

Wembley here we come again.

Paris well we will try to dethrone Les Blue..

Epl its 2 horse race wengine wapambane nafasi ya 3 na 4 mnajijua.

Carabao wrapped in Red ribbon stocked pale Anfield baada ya kuwazima vijana wa Mrusi.

Je bado ni fantasies ndugu.

YNWA
Still bado ni fantasies...muda n hakimu sahihi
 
Ingekua Mo ni Muingereza hii ela wangempa around 300k mpaka 350k kwa kuongeza mkataba miaka miwili na optional wa mwaka mmoja lakini kwa vile sio mtoto wa nchi ya Malkia hana namna labda kwa Mansour ama hao Magpies nk..

Watazame Sterlin, Grealish nk wanavyokula mpunga mrefu na hawana impacts ndani na nje ya uwanja.

Soon FSG wakishaona Salah hakuna uhakika wa ku saini mkataba mpya niamini watamkaanga kwa spin taarifa aonekane kabisa kwamba ni vampire anachojali ni mpunga na hawatasema alihitaji aongezewe kiasi gani mbali watakomaa dogo ni greedy hakuna kingine.

YNWA
Na nina amini la salah halitaiacha timu salama coz lilianzia kwa GIN now ni salah kuna kitu wachezaji wanakiona wanavo kuwa treated juu ya maslai yao na kiwango chao uwanjani.Iyo wage structure ipo kulinda maslahi yao WAMAREKANI TU na sio kingine.

Wote tunajua mchango wa Mane, kile anachopata sidhani akidai nyongeza kuna dhambi yoyote.

Tusione kuja Diaz,Jota nakuona salah hana lake tena. Hii timu bado inamuitaji sana mane na salah kwa miaka miwil mbele coz ata Diaz na Jota na watakao kuja wanaitaji sana kujifunza kwa hao watu sana ili watengeneze combo yao ya kipind chao.
 
#On his numbers on the field he deserve

#On his impact business wise he deserve akiuza asilimia 42 ya mauzo ya jezi zote kwa msimu uliopita. Kwa nyongeza ni kwamba Nike wanawapa Liverpool £30m kwa msimu mkataba wa jezi na pia hawapa Liverpool asilimia 30 ya kila jezi inayouzwa. Anawaingizia FSG mamilioni ya ela yaaani mpunga wa maana.

#Hana makuu hana drama zozote kuichafua klabu

#haumii hovyo hovyo.

#Uhakika wa kupiga assist 10+ na goli 20+ kila msimu upo.

#Lakini je alipwe hio £500,00 kwa wiki atakua ndio mchezaji analipwa ghali Uingereza.

# KDB wana mpango wa kumpa 400k na Raheem around 390k.

Mishahara bora EPL ipo hivi.

1. Kevin De Bruyne (Man City) – £385,000 kwa wiki.

2. Cristiano Ronaldo (Man Utd) – £385,000 kwa wiki.

3. David De Gea (Man Utd) – £375,000 kwa wiki.

4. Jadon Sancho (Man Utd) – £350,000 kwa wiki.

5. Raphael Varane (Man Utd) – £340,000 kwa wiki.

6. . Jack Grealish (Man City) – £300,000 kwa wiki.

7. Raheem Sterling (Man City) – £300,000 kwa wiki.

8. N’Golo Kante (Chelsea) – £290,000 kwa wiki.

9. Paul Pogba (Man Utd) – £290,000 kwa wiki.

10. 10. Thomas Partey (Arsenal) – £250,000 kwa wiki.

Wachezaji wanaolipwa zaidi Liverpool kwa wiki.

1. VVD analipwa £220,000.
2. Thiago analipwa £200,000.
3. Salah analipwa £200,000
4. Fabinho analipwa £180,000
5. Trent analipwa £180,000
6 Bobby analipwa £180,000
7. Allison analipwa £150,000
8. Henderson analipwa £140,000

Wachezaji wanaolipwa kiduchu Liverpool aafu wanapiga kazi balaa.
1) Robertson analipwa £100,000 kwa wik
2) Mane analipwa £100,000 kwa wiki
3) Jota analipwa £90,385 kwa wiki
4) Matip analipwa£100,000 kwa wiki
5. Diaz analipwa 90,385 kwa wiki.

FSG hawana mpango wa kukopa ama kujikopa walipe mishahara kama Manchester United nk wanavyolipa. Wao ni mapato ya klabu ndio yalipe wachezaji, wafanya kazi nk. Mapato pia ndio yanatumika kununua wachezaji wapya kama akina Konate nk

FSG wao wanawekeza tu kwenye asset kama viwanja vya mazoezi, gym, kupanua uwanja nk.

Tutawaelewa.

Tetesi ni kwamba kwa mapato ya Liverpool wanaweza pia kumlipa Salah anachokitaka bila kuadhiri mapato ya klabu na maisha yakasonga.

Tetesi zaidi wanaona kumbe bora wasikurupuke endapo Mbappe hata saini nyongeza na hatatua Los Blonco basi bora aje Liverpool ana umri wanaotaka, ni serial winner ana mvuto wa biashara nk.

Kingine wanajua bila Salah kuja Liverpool asingefika alipo kwa mafanikio alionayo kama angebakia Roma hivyo wanaona wanaweza kumpata mchezaji mwingine asiekua staa na wakamjenga kama walivyofanya kwa wengine kwa sababu wanaamini chini ya Klopp hakuna kinachoshidikana.

Hii ngoma bado asubuhi.

YNWA
Daah Mbappe aje liver?? Hao FSG wasituone sisi akili zetu ni kama za wapiga Nyet0
 
Na nina amini la salah halitaiacha timu salama coz lilianzia kwa GIN now ni salah kuna kitu wachezaji wanakiona wanavo kuwa treated juu ya maslai yao na kiwango chao uwanjani.Iyo wage structure ipo kulinda maslahi yao WAMAREKANI TU na sio kingine.

Wote tunajua mchango wa Mane, kile anachopata sidhani akidai nyongeza kuna dhambi yoyote.

Tusione kuja Diaz,Jota nakuona salah hana lake tena. Hii timu bado inamuitaji sana mane na salah kwa miaka miwil mbele coz ata Diaz na Jota na watakao kuja wanaitaji sana kujifunza kwa hao watu sana ili watengeneze combo yao ya kipind chao.
Hakika

Haiwezekani wachezaji wanafanya kazi kubwa ..wanajituma halafu wananyonywa.
Mimi natamani hata wangeondoka wote kwa mpigo ili hao wanyonyaji akili ziwakae sawa.

Wanadhani kulipa kidogo ni sifa
 
Adjustments.jpg
 
Dah hawa matajiri hawa jamani yaani leo hii Mshahara wa 200k kwa wiki ni Mshahara wa katikati maana zama zimebadilika sasa kweli umpe mshahara wa kati na kati Mohammed Salah Looooool!
Ili swala limekuja nitafakalisha kuwa ndo maana sisi hatusain big names sababu ya upuuzi na urafi wa FSG kuogopa kulipa mishahara, klopp nae kalihalalisha ili jambo sijui anajiona genius sana kubadilisha wachezaj wawe bora??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom