Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

so kwa walio zaliw miaka ya 95 na kuendelea hwatakiw kuzungumzia mpira or kuipenda chelsea mimi nmeanza kushabikia chelsea 2004 nilipenda chelsea coz of colour so mtu anaposema chelsea fans wanafata mafanikio uwa najiuliza kwa kizz kilichonz kupata akili wakat chelsea infany vizur hawastaili kuwa mashabiki, coz mashabik wa liverpool wao t ndo wanajiona realfans they own football
mapenzi ya ushabiki wa mpira ni hisia za mtu mwenyewe so uwez judge wote walihama timu fuln
so unavosema watu waliham 2005 kumbuka pia kuna vijana wamezaliwa miak 95 na kuendelea nao wanamapenzi n mpira

Good! Kama hivi ndiyo inavyotakiwa umeonesha nidhamu ya hali ya juu.

Kuanzia sasa wewe ntakutambua kama Chelsea Fan na sio Rent Boy kam Ollachuga.
 
Akilizao haziko vizuri kabisa yaani Man U msimu uliopita walifanya vizuri wakajua watafanya vizuri msimu huu tena, chelsea hii haina huwezo wakuchukua ubingwa kwa mechi 38 wachezaji wake wanaumia umia sana.

Sisi mara nyingi hawatuamini kabisa,baada yakupa zile point 97 wakasema wachezaji watakuwa wamechoka sana msimu ujao hatuwezi kuchukua ubingwa ,Msimu uliofata tukachukua ubingwa wakakosa chakusema.

Kwa wengine wakifanya vizuri msimu mmoja wanaaminiwa kuchukua ubingwa msimu ujao ila sio kwa sisi.

Kwa msimu uliopita kwa upande wangu wachezaji walikuwa wamechoka sana maana ilikuwa msimu wa tatu tuko vizuri.

Msimu ujao watatukataa tena,hiyo ipo hata hapa bongo.
Watajiju wao waedelee kutudharau na kutupuuza hivi hivi sie tunajikumbali wenyewe na hatutaki kuwalazimisha wengine kutukubali maana wataelewa pindi tunanyanyua kwapa EPL 😁😂😂hapo ndio watakuja mazima sasa kutoa sifa kwa Klopp na kama kawaida whats a Captain haha yaaaaani kumbe bila hata yeye ubingwa ungetua tu.

Kwa sasa tumeshakubaliana kila mmoja ashinde mechi zake aafu mahesabu ni Mei 22.

Manchester United kwa Sancho ambao ni Maritial aliechangamka na Varane, Ronaldo wamewalostisha msimu huu yaaani kabla Ligi haijaanza ilikua ooh Manchester United wamefanya baishara powa sanaaa kumbe ime cost sasa kuanzia Ole na sasa nafasi ya Big 4 wanaisaka kama ubingwa wa Ligi.

Chelsea baada ya kushinda UCL wengi waliona sasa wanaleta mapambano EPL tena kuwang'oa Manchester City kwenye usukani wao ebwana wee sio kazi rahisi hivyo na huku kibegi akichemka kufumania nyavu yaaani imekua vice vasa.

YNWA
 
Cheki hili takataka la liverkuku linaumia kwa sababu ya mafanikio yetu.

Unadhani timu za wenzetu zinakufaga kama zenu za mchangani? em acha nshamba wewe..
Tim yenye mafanikio sasa
IMG_20220321_212829.jpg
 
🚨 NEW: Trent Alexander-Arnold’s hamstring injury isn’t serious and there’s cautious optimism inside the club that if he continues to respond well to treatment then he should be fit for most of that April schedule. #awlive [@JamesPearceLFC]
 
Tunajua munapata maumivu sana kwa mafanikio tunayopata sisi chelsea. Poleni sana ..kwa sasa tunahakikisha kila msimu tunaingia final hata mbili au tatu..
Je hii liverkuku itaweza? Sisi tunajua tunachofanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom