Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mpaka hapa city tushanyanyua ubingwa ,unaweza kuta hata referees wataochezesha game za Liverpool walibet man city ni winner epl πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Yaaani Kipara ana wapa utajiri kampuni za ku beti ujue maana mkiukosaaaa ni balaaaa.

YNWA
 
Screenshot_20220320_103040_com.android.chrome_edit_196102953607576.jpg



Mr Assist Liverpool.

YNWA
 
FA Cup Quarter Finals
-Chelsea
-Liverpool
-Man City

UEFA champions Quarter Finals
-Chelsea
-Liverpool
-Man City

EPL title competition
-Chelsea
-Liverpool
-Man City

Then you will hear someone say Man U is the best team in England

🀣🀣🀣🀣
 
FA Cup Quarter Finals
-Chelsea
-Liverpool
-Man City

UEFA champions Quarter Finals
-Chelsea
-Liverpool
-Man City

EPL title competition
-Chelsea
-Liverpool
-Man City

Then you will hear someone say Man U is the best team in England

Wagawane hayo makombe tu
 
FA Cup Quarter Finals
-Chelsea
-Liverpool
-Man City

UEFA champions Quarter Finals
-Chelsea
-Liverpool
-Man City

EPL title competition
-Chelsea
-Liverpool
-Man City

Then you will hear someone say Man U is the best team in England


What a hit?
 
View attachment 2157636

Hawa ni baadhi ya wachumbuzi walivyotabiri bingwa EPL na Top 4 itakavyokua. Ajabu kwa hawa hapa hakuna alietabiri Liverpool anaweza kua bingwa.

Haya maisha yanakwenda kasi balaa.

Tutaelewana.

Ina maana kampuni za bet Liverpool akiwa bingwa zitakua matajiri balaa maana wale wanaoweka bet mwanzoni mwa msimu za nani bingwa wengine hua wanaangalia hawa wachambuzi aafu ndio wanabeti sasa imekula kwao hali inavyokwenda sio kabisa kwa hao wengi.

YNWA

Danny Murphy na Mark Lawrenson tu ndiyo mpaka muda huu wapo karibu na ukweli.
 
Nadhani kwa JF mimi ndiye pekee ninayoongoza kuwaita Chelsea Fanboys kuwa ni RENT BOYS lakini sijawahi kufafanua maana halisi ya hilo jina kwasababu in nature sio Jina zuri na wala Watu wengi humu hawalijui nini hasa maanayake na kwanini nalitumia! lakini hata nyinyi Chelsea munajionaje yani munapotuita majina mabaya kama Liverkuku halafu sisi tunawachora tu?

Lakini kwavile ni wewe mwenyewe ndiye umeanza kulieleza wacha na mimi nimalize.

SABABU YA CHELSEA KUITWA RENT BOYS.

- Kuanzia kipindi cha mwaka 1960 mpaka kufikia miaka ya mwisho wa 1980s Vijana wengi wa kiume kutoka maeneo mbalimbali ya Uingereza walikimbilia katika Jiji la London hasahasa walivutiwa na Mji wa Chelsea ambapo walijazana wengi hapo Mjini Chelsea! Vijana hao wa Kiume kutokana na Ugumu wa Maisha wakaamua kujiingiza katika biashara ya Ukahaba wakawa wanajiuza kama Mashoga ili kupata hela za kujikimu na kulipa Kodi mbalimbali ndipo Wakapewa Jina la Rent Boys.

- Halafu Kiongozi mmoja Mkubwa wa Chelsea akafumwa anamnyandua Kijana Mmoja wa Rent boy aliyevutiwa na hela za Kiongozi huyo! Kuanzia hapo ndiyo Chelsea kama Timu ikahusishwa moja kwa moja na Rent Boys.

Kuanzia miaka ya 1990 jina hilo lilianza kupotea lakini baada ya kuja ABRAMOVIC Wachezaji wakubwa waliojiunga na Timu ya Chelsea ambayo haikuwa na Legacy wala History yoyote kwa kuzikataa Man United, Liverpool na Arsenal ndiyo Washabiki wa Timu hizo wakasema Mchezaji yoyote hawezi kwenda Chelsea kwa ukubwa wa Timu au mapenzi bali wanakwenda pale kwa kufuata pesa tu kama walivyokuwa Rent Boys! Hivyo Wachezaji wote waliojiunga Chelsea ya Abramovic kwa kufuata hela nao Wakaitwa Rent Boys.

Kuanzia hapo Wachezaji na Washabiki wa Chelsea wakarudishiwa jina lao la RENT BOYS (Vijana Makahaba wa kiume (mashoga) wanaojiuza kutafuta hela) mpaka hii leo.

Hebu sikiliza na kawimbo cha Rent Boys haka kutoka Ndani ya Anfield.
Inamaana Chelsea niwanyanduliwaji?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom