Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Bobby ndiye Mchezaji asiye na kiburi na mwenye nidhamu zaidi kuliko mchezaji yoyote wa Liverpool.
Hakufanya ukakasi alipoambiwa ampe Jezi namba 11 Mo Salah, wala hajanuna alipopokonywa namba na Diogo Jota.

Imagine Sadio Mane angeambiwa nayeye ampe Jezi namba 10 Diogo Jota halafu namba namba yake ichukuliwe na Diaz uone kama hata Wiki itamaliza Hajang'oa Viti uwanjani.
Au Hendo namba yake ichukuliwe na Keita kama hajampasua Klopp.
Bobby no wonder Klopp rate the boy highly hana makuu wala bwebwe yeye ni real professional hata pale yupo on fire aafu Klopp akaamua kumtoa hua hanuni wala nini yeye ni all smiles... Sasa tazama jamaa zetu Salah, Mane, Henderson yaaani hawa namba ikinyanyuliwe utaona wanavyonuna na maneno ya chini chini sasa unajiuliza mwenye mamlaka ya mwisho ya kikosi ni Klopp na sio wachezaji yaaani binafsi hua wananikera balaa wakati mwingine.

Pale mbele sasa pamenoga tunahitaji fresh legs zaidi hivyo Klopp akiona Diazi amechoka na kuja jambo Origi anaweza kufanya basi rukhusa kufanya hio sub hatutaki umwinyi sisi wala medal binafsi sio priority mbali Kombe la Jumla.

YNWA
 
Screenshot_20220319_214512_com.android.chrome_edit_187338997836517.jpg


Mambo ndio haya.

Kumbe ni kwa wenzetu yapo.. Ukisikia ya habari za ki usalama ndio hizi Hahaha tungepata around tiketi 6,000 hivi lakini tunakosa kadhaa.

YNWA
 
Bobby ndiye Mchezaji asiye na kiburi na mwenye nidhamu zaidi kuliko mchezaji yoyote wa Liverpool.
Hakufanya ukakasi alipoambiwa ampe Jezi namba 11 Mo Salah, wala hajanuna alipopokonywa namba na Diogo Jota.

Imagine Sadio Mane angeambiwa nayeye ampe Jezi namba 10 Diogo Jota halafu namba namba yake ichukuliwe na Diaz uone kama hata Wiki itamaliza Hajang'oa Viti uwanjani.
Au Hendo namba yake ichukuliwe na Keita kama hajampasua Klopp.
Ustadh uwasimuelewi kabisa ni kisikia story za yeye na msikitini
 
Screenshot_20220320_102124_com.android.chrome_edit_196249149671095.jpg


Hawa ni baadhi ya wachumbuzi walivyotabiri bingwa EPL na Top 4 itakavyokua. Ajabu kwa hawa hapa hakuna alietabiri Liverpool anaweza kua bingwa.

Haya maisha yanakwenda kasi balaa.

Tutaelewana.

Ina maana kampuni za bet Liverpool akiwa bingwa zitakua matajiri balaa maana wale wanaoweka bet mwanzoni mwa msimu za nani bingwa wengine hua wanaangalia hawa wachambuzi aafu ndio wanabeti sasa imekula kwao hali inavyokwenda sio kabisa kwa hao wengi.

YNWA
 
Screenshot_20220320_102434_com.android.chrome_edit_196213932823705.jpg


Haya sasa ubao ndio huu. Tumeshinda 9. Tumefungwo goli 2 tu.

Ukuta imara umerejea.

Kwangu naona Matip VVD imekaa powa sana msimu huu.

Gomez sioni akibakia Anfield Juni hii. Tetesi ni kwamba Liverpool wanamfuatilia beki Bremer wa Torino na dogo na machini haswa.

YNWA
 
View attachment 2157636

Hawa ni baadhi ya wachumbuzi walivyotabiri bingwa EPL na Top 4 itakavyokua. Ajabu kwa hawa hapa hakuna alietabiri Liverpool anaweza kua bingwa.

Haya maisha yanakwenda kasi balaa.

Tutaelewana.

Ina maana kampuni za bet Liverpool akiwa bingwa zitakua matajiri balaa maana wale wanaoweka bet mwanzoni mwa msimu za nani bingwa wengine hua wanaangalia hawa wachambuzi aafu ndio wanabeti sasa imekula kwao hali inavyokwenda sio kabisa kwa hao wengi.

YNWA

Mpaka hapa city tushanyanyua ubingwa ,unaweza kuta hata referees wataochezesha game za Liverpool walibet man city ni winner epl 😅😅😅😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom