King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Kweli we jamaa nimeamini umeanza kushabikia city juzi tu sasa ulileta mambo ya head to head kati ya Klopp na kipara halafu unaacha msimu wa kwanza Kipara alipokuja EPL
Sio kwamba kaacha bali alikuwa hajui huyo kama Klopp na Pep walikutana msimu wa 2016/17.
Nina uhakika kipindi hicho alikuwa bado hajawa Plastic Fan wa Man City.
Either alikuwa Mshabiki wa Timu nyengine (Manure, Arsenal, Liverpool) au alikuwa hajaanza kupenda mpira alikuwa Sekondari anamwagilia Bustani.

