Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,749
- 28,144
Hii Liverpool inanikojoza
Waonee huruma Nkamu 🤣🤣Kuna maboya ngoja niwaamshe
Jota love to score against arsenalView attachment 2153466
Jota magoli ile shuti ukipima kwenye mzani itakua kilo 50+ maana Ramsdale sio kipa anaefungika kirahisi lakini leo hajaamini shoti kali balaa imempita mwendo wa 5G.
YNWA
Yeah man mpaka kieleweke nani kidume.Ha ha ha ha ha!!!
Game after game mkuu,
Hadi kieleweke.
YNWA.
Well the most prepared timu ndio imeshinda.Hata last time tuliwafunga zile 4 ilikuwa walicheza mechi 8 wakashinda 6 sare zilikuwa mbili,walivyokutana na sisi tukawapa nne hizo.
Leo walipania mechi sana wakawa wanakaba sana.
Liverpool tuko imara nyuma na mbele hapo katika bado hakuko vizuri.
Arsenal walikuwa wanajipa moyo leo watashinda
Ilikuwa makubaliano nkamu.Waonee huruma Nkamu![]()

Liverpool inaupiga mwingi AloooView attachment 2153466
Jota magoli ile shuti ukipima kwenye mzani itakua kilo 50+ maana Ramsdale sio kipa anaefungika kirahisi lakini leo hajaamini shoti kali balaa imempita mwendo wa 5G.
YNWA





Tuliwatandika nje ndani Carabao,mkaishia kupaisha pira.Munampiga arse8 munajiona muna timu ya maana.
.kama munaweza tukutane fainal UEFA.
Hii timu inachonipa ni zaidi ya furaha sana.Nyt nyt folks.
Its getting better as days goes by.
We dare dream for the 20th EPL this season.
Dreams are made of wins.
Inspiring.
Delivering.
Cool heads.
In Love With Liverpool results haha team ushindi no other way.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
YNWA








Inaitwa bandika banduaHa ha ha ha ha!!!
Game after game mkuu,
Hadi kieleweke.
YNWA.

Mwenye swali ajitokezeTukumbushane tu ni kwamba kuna kipindi Manchester City alituacha pointi 14 na sasa ni pointi 1 moja na tupo gemu sawa.
Kuna mtu mwenye swali jamani? Kuhusu hii gemu ya Liverpool vs Arsenal.
Ushindi ugenini 2 na clean sheet murwa kabisa.
Arsenal kabla ya hii gemu walikua wameshinda gemu 5 mfululizo hivyo sio kwamba n dhaifu mbali hawajawa finished article. Mikel anafanya kazi powa kabisa.
YNWA





wanyonge?!! unaijua chelsea vizuri mkuu.? juzi umetoutea kale kakombe cha uji ndio unajiona una timu ya maana hasa baada ya kumpiga kibonde arse8..!??! subiri tupangwe na nyoe tuwawashiye moto ninyi kuku..😀😀Tuliwatandika nje ndani Carabao,mkaishia kupaisha pira.
Hatutaki wanyonge kama nyie,tunawataka City.
Kombe uji ndio lingewashindaa kupata?wanyonge?!! unaijua chelsea vizuri mkuu.? juzi umetoutea kale kakombe cha uji ndio unajiona una timu ya maana hasa baada ya kumpiga kibonde arse8..!??! subiri tupangwe na nyoe tuwawashiye moto ninyi kuku..😀😀
Wewe UEFA round hii huvuki, utaishia hiyo robo tu.Munampiga arse8 munajiona muna timu ya maana.
.kama munaweza tukutane fainal UEFA.
Kuna marapper na maraperKuna tofauti sana kati ya ku-rap, na ku-Lapu
Naona asses wanalapu

